Nimegundua hili kuhusu wake za watu. Inaweza kukatisha tamaa kuoa

Hao ndo Hatari zaidi wanaliwa haswa.
 
It is a "Man Nature"...

Na kama unayo nafasi wewe chakata tuu, haipunguzi kitu maishani mwako..

Cha msingi tafuta your fu¢kmate ambaye hana attachment na mtu mwingine muendelee kuenjoy, achana na wake za watu watakuletea shida tuu..

Mwanaume hajaumbiwa mwanamke mmoja, thats nature pingana nayo lakini itabaki kuwa hivyo tuu. Mababu zetu hawakuwa wajinga kuoa mitala, hata wanaume wengi waliotajwa kwenye vitabu vitakatifu (vyote) wengi walikuwa na wanawake zaidi ya mmoja.

Achana na hawa the so called wafia dini uchwara, wanajifanya wanaijua biblia, mengine wanayafuata ila ukiwaambia kwa nini mnakataza wanaume kuwa na wake wengi wanaishia kudangidangi tuu bila clear answer.
 
Nikadhani Mimi nina zali,kumbe sio,this is weird.
Iko hivi mwaka huu ni mekuwa na safari kama nne hivi za kwenda kaskazini (to and fro) Kwa mishe flani,na Kila Safari ilikuwa nikifika Dom lazima apande manzi na lazima nimkule,mbili nimezilia Mwanjerwa,mbili Chuga town,Free of charge,nililipia tu lodge,true story
 
Watu wanabisha vitu hawavijui kabisa.
 
Yani nimejikuta napata hasira sana. Hivi miaka 50 ni nini ukijui kwa wanawake, kwann mnahalalisha uzinzi uwe ni kawaida tu?? Baba mzima kabsa bado unang'ang'ania na kuipenda ngono.. kizazi cha hovyo sana hiki... laiti ungekuwa baba angu na ningeyajua haya ungechezea sana fimbo yani fimbo haswa...
 
Hongera Mkuu kuingia kwenye Msululu (Chain) ya kushare Magonjwa, maana katika watu ambao wanatumia dozi asilimia zaidi ya 43.6 ni walio kwenye ndoa.
=======
Hata hivyo, Mwanamke akiamua lake hata kama upo naye beneath unamlinda 24/7 kama kuliwa ataliwa tu.

Muhimu kama ulivyosema ajiheshimu, kwanza ikiwa zamu yako ya kukupea kama Mumewe lazima ataiosha ndiyo akupe🤪
 
kila kitu umesema kweli wake zetu wanaliwa sana na mimi ukweli nawala mno wake za watu,hapa nilipo nakula mke wa mtu mmoja hivi
 
UMEUMIZA WATU HAPA.
 
Ni kawaida hakuna jipya, acha aliwe, kwani wewe umewala wangapi ukifuatilia haya mambo utapoteza muda na stress juu.
 
Ni katika kufanya utafiti huu kama inawezekana nikakuta inawezekana kabisa.
Ukweli ni kwamba wanawake wamejanjaruka na kuamua kufanya kama wanaume wanavyofanya i.e. kuchepuka. Hapo zamani wanaume ndiyo walikuwa wana ''ruksa'' ya kuchepuka na wanawake walikuwa wameaminishwa kuwa wao hawatakiwi kufanya hivyo. Utandawazi umefanya wao kuiga wanaume wao wanavyofanya.
 
Fanya mambo yako acha tabia ya kuchunguza wake za watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…