Uchaguzi 2020 Nimegundua hizi kampeni zinafanyika kwa upendeleo “hazina usawa”

Utakuwa unaishi sayari nyingine,
Taja nchi moja tu inayosema ikishafika wakati uchaguzi rais aliyeko madarakani anaacha madaraka hayo! Hakuna kabisa. Ila rais alyeko madarakani akishindwa wakati wa uchaguzi, basi anasimamia uapishwaji wa aliyemshindwa na kumkabidhi nchi halafu yeye anajiondokea kurudi mtaani kwake.
 
Kumbe majibu unayo halafu unajitoa akili, maagizo wanayatoa kwa vile bado wapo madarakani. Hao wapinzani watatoa misaada gani wakati wao wenyewe wanaomba kusaidiwa?
 
Ina maana haujaona wapinzani wakiomba michango toka kwa wananchi waliotoka kuwaita masikini muda mfupi uliopita. Huoni kama huo nao ni ujambazi wa kisiasa?
Sasa kuomba kunakuwaje ujambazi duu kweli lumumba mmepoteana 😄😄😄
 
mh. Lissu tume haitakutangaza wala polisi hawatakulinda Ninakuomba kwa dhati kabisa kama hakuna mkakati wowote wa lazima kuhusiana na ujinga huo wa tume tafadhali acha kutuchosha wapiga kura maana yasijekutokea kama ya lowasa zee tulilipigia kura nyingi likashinda lkn likadhulumiwa ushindi kizembe
 
Yap ni kweli, I am wrong nilifikiri argument yako ipo kwamba unatakiwa kutoka madarakani ktk kipindi hicho.
Mimi nimekujibu vibaya , sorry
 
Yes.Vurugu.nyingi.ni.za kugomea kukabidhi.madaraka baada. ya matokeo kutangazwa na kushindwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ina maana haujaona wapinzani wakiomba michango toka kwa wananchi waliotoka kuwaita masikini muda mfupi uliopita. Huoni kama huo nao ni ujambazi wa kisiasa?

Wewe unaweza kuwa ni maskini wa kufikiri.
 
Naona unalalamika tu bila kuja na alternative,

Jambo hili lipo dunia nzima Rais anabakia kuwa madarakani na ni mgombea.

Hivyo atumie rasilimali za nchi kwa manufaaya chama chake?
Kama kuna miradi alishindwa kuitekeleza, anakuja kutoamaagizo ya kuitekeleza kwenye kampeni si sawa kabisa
 

Labda kama yule kamanda wa A=B=C, yeye huyu anakazia A=B=C=D?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…