Nimegundua idadi kubwa ya Watanzania au Africa tumetumia camera moja kuangalia shuti la Ki Aziz

Nimegundua idadi kubwa ya Watanzania au Africa tumetumia camera moja kuangalia shuti la Ki Aziz

Nawaeleza lile sio goli, nimeshangaa kuona viongozi wengi wa Tanzania wakishupaza yanga waandikie barua CAF, Kwaajili ya shuti la Aziz ki katika mechi kati ya yanga na mamelodi.

Kwenye angle ambayo nyie wote na mimi lile tunaliona kama limedundia ndani.
Ule mpira umedundia kwenye goal line. Na haujafiika upande wa ndani wa goli. Hivo msimlaumu refa.

Nipo naandaa video muone kwamba lile si goli ila kwa muda huu. Nimeandika niwatoe wasiwasi wana jangwani na viongozi wenu wa juu, kama Mwana FA na Kimgwagala yule.
Magoli yanatakiwa yaangaliwe na idadi ya camera ili yawe magoli?
Hebu tuambie yanatakiwa yaangaliwe na camera ngapi?
 
Pamoja na usimba wangu niseme tu kweli, lile ni goli halali kabisa halihitaji hata discussion.

Kama Mamelodi angekuwa anacheza na mwarabu naamini lile goli lingekubaliwa, bahati mbaya Yanga inaonekana timu ndogo na uwepo wa Motsepe CAF ndio umewamaliza vyura kabisa.
Yaah unajua watu wa simba wengi ni mazwazwa hizi ishue zikienda hivi siku nyingine itakuja kutokea kwa timu nyingine na itakuwa mchezo uliozoeleka pale hakuna nini wala nini lile goli halali kabisa wanaleta michezo ya kufix match sio vizuri kabisa kwa soka la Africa
 
Nawaeleza lile sio goli, nimeshangaa kuona viongozi wengi wa Tanzania wakishupaza yanga waandikie barua CAF, Kwaajili ya shuti la Aziz ki katika mechi kati ya yanga na mamelodi.

Kwenye angle ambayo nyie wote na mimi lile tunaliona kama limedundia ndani.
Ule mpira umedundia kwenye goal line. Na haujafiika upande wa ndani wa goli. Hivo msimlaumu refa.

Nipo naandaa video muone kwamba lile si goli ila kwa muda huu. Nimeandika niwatoe wasiwasi wana jangwani na viongozi wenu wa juu, kama Mwana FA na Kimgwagala yule.
Ona huyu anaropoka.
Kwahiyo sisi macho hatuna??
Yani mpira umedunda kwenye goal line ilhali kivuli chote kipo ndani ya goal line??
Weeeh!Huzungumzi na watoto hapa
Screenshot_2024-04-06-08-24-34-85_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Sawa mkuu kwa nn refa hajaenda kwenye var angalau kutuzuga tu sisi wa buza.
 
Nawaeleza lile sio goli, nimeshangaa kuona viongozi wengi wa Tanzania wakishupaza yanga waandikie barua CAF, Kwaajili ya shuti la Aziz ki katika mechi kati ya yanga na mamelodi.

Kwenye angle ambayo nyie wote na mimi lile tunaliona kama limedundia ndani.
Ule mpira umedundia kwenye goal line. Na haujafiika upande wa ndani wa goli. Hivo msimlaumu refa.

Nipo naandaa video muone kwamba lile si goli ila kwa muda huu. Nimeandika niwatoe wasiwasi wana jangwani na viongozi wenu wa juu, kama Mwana FA na Kimgwagala yule.
Huyo refa ni Arajiga wa Mamelody kama alivyo Arajiga wa Yanga anavyowabeba kwenye NBC league na Azam Confederation Cup. Kwa hiyo mmeamini malipo ni hapa hapa duniani. Tuna mechi kibao ambazo Yanga imezulumu ushindi wa timu nyingine kwa sababu tu ya refa kama Arajiga na wengineo wenye mahaba na Yanga. Na mkiendelea kukaza fuvu nitaweka clip zake hapa
 
Nawaeleza lile sio goli, nimeshangaa kuona viongozi wengi wa Tanzania wakishupaza yanga waandikie barua CAF, Kwaajili ya shuti la Aziz ki katika mechi kati ya yanga na mamelodi.

Kwenye angle ambayo nyie wote na mimi lile tunaliona kama limedundia ndani.
Ule mpira umedundia kwenye goal line. Na haujafiika upande wa ndani wa goli. Hivo msimlaumu refa.

Nipo naandaa video muone kwamba lile si goli ila kwa muda huu. Nimeandika niwatoe wasiwasi wana jangwani na viongozi wenu wa juu, kama Mwana FA na Kimgwagala yule.
Unaandaaa video???!!!
 
Sasa Azam Wana camera gani za kuzoom Lile goli 😂 pale var ndo inaonesha kila kitu camera za tv ukizoom utaona goli ila kisheria sio
Azam wao walirusha tu hayo matangazo sio wenye kamera. Na hapo ndipo panaonyesha udhaifu mkubwa wa CAF kwa wanaopewa haki ya kurusha hayo matangazo kuwa Wana kiwango kidogo Cha ubora.
 
Hivi mbona camera za nyuma au angle nyingine hazijaonyeshwa? Ina maana upande wa goli like hakuwa na kamera za nyuma?

By the way I m Simba fan but Yanga deserved that goal.
Hakuna goli pale, usiwadanganye
 
Back
Top Bottom