Nimegundua Mume wangu ana uhusiano wa kimahaba na dada yetu wa kazi

nashukuru kiherehere kimenitoa gizani
 
Alijuaje kuwa Back3 anamnyonya Mumewe wakati alikuwa uvunguni?

Sent from my WAS-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Nimecheka sana; mwanaume yeyote mwenye afya, kuonja onja nje ni kawaida, ulichotakiwa kufanya ni kujifunza utundu zaidi katika tendo; usimchukie mume wako,we ongeza manjonjo tu, mwenyewe atabadilika.
mkuu moyo umegoma acha maisha yaendelee
 
ila huyu kala vyandani,tena ndani kwangu amenikosea sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…