Ruhusu Mpango wa Mungu
Senior Member
- May 15, 2023
- 137
- 220
Ita walokole wa Manisa la EAGT au TAG wakuombee.Okoka hizo takataka zitatoka utakuwa huru na utaponaUnaabudu wapi au unasali wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ita walokole wa Manisa la EAGT au TAG wakuombee.Okoka hizo takataka zitatoka utakuwa huru na utaponaUnaabudu wapi au unasali wapi?
Nenda EAGT au TAG wachungaji wakuombee.Mfano Magole kuna mchungaji wa EAGT Manisa linaitwa kidole cha Mungu mtafute wakuombee.Kuna MTU alitoka mwanza kapigwa skadi aliombewa akapona.Ni mchungaji yupo simple lakini Mungu amemchaguaMi nasali kwa Kuhani Musa
Mi nilishaombewa nikapona, nipo sawaNenda EAGT au TAG wachungaji wakuombee.Mfano Magole kuna mchungaji wa EAGT Manisa linaitwa kidole cha Mungu mtafute wakuombee.Kuna MTU alitoka mwanza kapigwa skadi aliombewa akapona.Ni mchungaji yupo simple lakini Mungu amemchagua
Hata Mimi ndo makanisa yangu kila nnapoenda TAG au EAGTNenda EAGT au TAG wachungaji wakuombee.Mfano Magole kuna mchungaji wa EAGT Manisa linaitwa kidole cha Mungu mtafute wakuombee.Kuna MTU alitoka mwanza kapigwa skadi aliombewa akapona.Ni mchungaji yupo simple lakini Mungu amemchagua
Nashukuru kama umepona.Nakwambia malizia kuokoka hakuna mchawi wa kukugusaMi nilishaombewa nikapona, nipo sawa
Asante kwa ushauri
Vizuri.Umemalizia kuokoka lakini I'll usiguswe tenaHata Mimi ndo makanisa yangu kila nnapoenda TAG au EAGT
Niliokoka na kuokoka maana hii vita bila kumjua YESU na kuomba Roho Mtakatifu akusaidie huwezi...Nashukuru kama umepona.Nakwambia malizia kuokoka hakuna mchawi wa kukugusa
No mimi sijawahi kuguswa na wachawiVizuri.Umemalizia kuokoka lakini I'll usiguswe tena
Una Utovu wa nidhamu dogoo mgonjwa!!Natamani kumwambia aisee ila naogopaaa kuna mtu kaniambia mchawi hakubali hata siku moja kuitwa mchawi yan vita yake sio ndogo…sasa najiangalia na hali yangu sasa sielewi
Sasa dawa ya mtu kama huyo ni kujifanya mjinga ukifikisha hela inayoweza kukutibu na ukabaki na mtaji nenda kajitibu kwanza nenda mbali kabisa, huyo amekutangulia katika kujua kuwa KIROHO wewe ni MKUBWA zaidi yake.Yani uchumi ndio kaufunga, nakumbuka Mimi nilikuwa nikipata kazi tu akijua kazi inaisha, alafu akawa anajifanya kunisaidia ila pesa zake ni za kichawi zinaisha haraka huwezi fanyia kitu...
Kabisa mkuu, yaani nikupambana naye kwa IBADA, mi saivi ananiogopa sana na akiwa anakuja kuniloga namuona na anashindwa, nipo vyema kiroho nashukuru sana maombi na Ibada za Kuhani Musa zimenijengaMchawi akimbiwi
Asa huwazi elezea nani atakuamini kuwa unachosema kinauhalisia.., usijekuta ni maneno ya mganga tu kuwachonganisha kuwa makini nduguNi kisa kirefu siwezi kuelezea na imenichukua miaka mitatu mpaka kuja kugundua juzi ..
Wakati hata nguvu hana si atamgeuzia kibao na kumkata yeye!Mtie panga lashingo tu huyo unamuogopa nn?
Pole sana tafuta huduma ya maombi kimya kimya bila yeye kujua japo kwenye giza atajua tu [emoji26] tafuta mtu akupeleke hivi unazani shida nyingi za watu hutoka mbali? Ni humo humo ndani.Asante kwa ushauri ..yan nimechoka sana. Yeye ndio alikuwa mstari wa mbele kunipeleka kwa mashekh na waganga kumbe alikuwa ananizunguka
Akimuua kweli , apate pakusimamia kwanza ataanza kusema ndugu yake kapata kichaaWewe mchane ukweli tuu,,"Mwambie nduguu!!kuliko haya mateso unayonipa kwa mauchawi yako ya kinyoko mbili si bora uniue tuu Mamameeehh"huku macho makavuuu!!!