Zerodistance
Member
- Dec 3, 2022
- 5
- 3
Duuh mbona ni hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina ushahidi wa hili lakini nadhani lina ukweli asilimia 99. Kama mambo yako yako straight hata kama hao jamaa wanataka kukuonea watakosa pa kuanzia. Mtu hata akikutafuta kisa huwa anaangalia penye weakness ndipo anapokuzolea. So am sure hao jamaa kuna jinsi mapato yao hawaeleweki kabisa. Ila huwa hakuna mkosaji anayekubali kosa😀😀As long as unafanya biashara pasipo kona kona sasa wasiwasi wa nini...Kwa kati ya hao umesikia Bakhresa,Mo Dewji, au hata wamiliki wa biashara za mashule na hotels wanalalamika kuzuiliwa pesa zao bank..Hao wanaolalamika ni wapumbavu kwenye industry business na ni watakatishaji wa pesa haramu, Hakika huwezi kuwa Mfanyabiashara mzuri katika nchi yako na mlipaji wa kodi kwa wakati halafu ukasumbuliwa na mambo kama hayo, Mara nyingi huwa serikali yako itakulinda kwa hali yeyote ile kwani tayari umeshakua ni faida kwao...Achana na wapumbavu wachache wasikufanye ukapoteza ufikiri wako kwa upuuzi wao..
Huu ndio ulikuwa wakati wa kupaza sauti kwa umoja wetu. Tatizo tuaangalia vitu kichama sana. Tazama Diamond wengine walivyotekwa na Makonda yeye akaimba kukaa kimya. Leo yamemfikaHuu uhuni unapaswa kukemewa vikali mno, kinachosikitisha wanafunga Hadi account zisizohusika na biashara husika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ona mpuuzi huyuHaya mambo ni mageni hapa Tanzania ila huko mbele ni kawaida sana.
With time tutazoea.
Hizo ardhi zenyewe hukawii kuambiwa ni hifadhi ya barabara au kumepita bomba la kinyesi hivyo ni mali ya serikali.Nunua assets kama ardhi n.k au nenda kahifadhi uswisi kama wanasiasa wanavyofanya.
Ahsante kuanzia sasa naweka fedha zangu zote kwenye kibubu.Wafanyabiashara wengi, wakubwa, wa kati kwa wadogo huu mwisho wa mwaka wamekutwa na dhahama la kusikitisha na kuhuzunisha, wamefungiwa account binafsi za benki na zile za biashara na mamlaka moja yenye nguvu.
Kwenye mazingira kama haya ambapo unaporwa hela zako zote, kuna haja gani ya kuweka pesa benki?
Waswahili wanasema tunajifunza kutokana na makosa. Makosa ya walioporwa pesa zao zilizopo benki tanatufundisha nini?
Weka pesa bank, at your own risk
Mpuuzi mama yako na baba yako mzazi.Ona mpuuzi huyu
Ardhi yenyewe watataka uiendelezeNunua assets kama ardhi n.k au nenda kahifadhi uswisi kama wanasiasa wanavyofanya.
Sio kwa wafanyabiashara tu, hata kwa wafanyakazi na waajiriwa, ukizinguana na mwajiri wako tu boss anakwenda ku bloki akaunti yako. Hatari!!!Wafanyabiashara wengi, wakubwa, wa kati kwa wadogo huu mwisho wa mwaka wamekutwa na dhahama la kusikitisha na kuhuzunisha, wamefungiwa account binafsi za benki na zile za biashara na mamlaka moja yenye nguvu.
Kwenye mazingira kama haya ambapo unaporwa hela zako zote, kuna haja gani ya kuweka pesa benki?
Waswahili wanasema tunajifunza kutokana na makosa. Makosa ya walioporwa pesa zao zilizopo benki tanatufundisha nini?
Weka pesa bank, at your own risk
Ndiyo maana nchi haiendelei. Mtu kuwekeza nje ya nchi na serikali wala haina habari na wewe ni hatariNi ujinga tu wa tz umewajaa kuanzia wa ngazi ya chini Hadi ya juu.
Tax system ni mbovu na Ina mianya mingi,,Sheria nyingi ni mbovu,,watu wanatamaa na uchu tu wa kupora Mali za watu.
Kama una pesa mingi fanya kama wafanyavyo wahindi na wachina nenda kawekeze nje ya nchi kule Kunako usalama.
Pointtless kabisa!As long as unafanya biashara pasipo kona kona sasa wasiwasi wa nini...Kwa kati ya hao umesikia Bakhresa,Mo Dewji, au hata wamiliki wa biashara za mashule na hotels wanalalamika kuzuiliwa pesa zao bank..Hao wanaolalamika ni wapumbavu kwenye industry business na ni watakatishaji wa pesa haramu, Hakika huwezi kuwa Mfanyabiashara mzuri katika nchi yako na mlipaji wa kodi kwa wakati halafu ukasumbuliwa na mambo kama hayo, Mara nyingi huwa serikali yako itakulinda kwa hali yeyote ile kwani tayari umeshakua ni faida kwao...Achana na wapumbavu wachache wasikufanye ukapoteza ufikiri wako kwa upuuzi wao..
Rule number one katika uwekezaji, Never lose money, yaani hutakiwi kupoteza pesa. Ni Mara Mia uichimbie sehemu salama kuliko kuiacha, iliwe na binadamuHela inatakiwa izungushwe sio ichimbiwe Uswiss