Ok mkuu, nimekusomaWewe ulitaka kufahamu nini kuhusiana na biashara?
Achana na personal Private life usije ukawa shushushu akaleta shida kwenye maisha yangu na wanaonitegemea!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok mkuu, nimekusomaWewe ulitaka kufahamu nini kuhusiana na biashara?
Achana na personal Private life usije ukawa shushushu akaleta shida kwenye maisha yangu na wanaonitegemea!!
Walifuata taratibu zote za kisheria na wakatuma barua ya wito lkn huyo pimbi akaona haitoshi akaleta hoja kwenye mitandao ya kijamii..Sheria inasemaje kuhusu mhalifu? Huyo feitoto ana hela nyingi kuliko Diamond?
Kutolipa kodi ni kosa kisheria. Kwanini asikamatwe akajibu mashitaka mahakamani?
Mbona yule mama wa vitenge alipelekwa mahakamani?
Hivi ingelikua ni wewe ndio mhusika wa maswala ya ukusanyaji wa kodi utoaji wa taarifa juu ya ulipwaji wa kodi ungelifanyeje juu ya mbadhilifu wa sheria za ulipaji kodi kama huyu..Nchi za kiafrika viongozi ndiyo sheria. Hata kama una kosa ndiyo wafunge account yako bila kukamata?
Ukifanya kosa unakamatwa, unapelekwa mahakamani kujibu mashitaka ndiyo sheria inavyofanya kazi siyo unafunguwa hujui kosa. Kisa wameona pesa mingi na kuhisi hisi.
Ina maanisha serikali haitaki watu wawe na hela
Alipe kodiHaya mambo ni mageni hapa Tanzania ila huko mbele ni kawaida sana.
With time tutazoea.
Mbona hapo hawajaonesha kama walishamtumia barua hapo kabla akagoma?Walifuata taratibu zote za kisheria na wakatuma barua ya wito lkn huyo pimbi akaona haitoshi akaleta hoja kwenye mitandao ya kijamii..View attachment 2466791
Weka pesa bank, at your own risk
Mimi ningefanya hivi.Hivi ingelikua ni wewe ndio mhusika wa maswala ya ukusanyaji wa kodi utoaji wa taarifa juu ya ulipwaji wa kodi ungelifanyeje juu ya mbadhilifu wa sheria za ulipaji kodi kama huyu..View attachment 2466792
Ndio watu hawajazoea na mamlaka zilikuwa hazifuatilii hiki kitu.Haya mambo ni mageni hapa Tanzania ila huko mbele ni kawaida sana.
With time tutazoea.
pesa ya mtu inazuiliwa bila sababu?Wafanyabiashara wengi, wakubwa, wa kati kwa wadogo huu mwisho wa mwaka wamekutwa na
Mumiani ni wanyonya damupesa ya mtu inazuiliwa bila sababu?
Pesa zako zifukie kwenye mtungi, kisha utazipta salam kwa mchwa 😀😀Wafanyabiashara wengi, wakubwa, wa kati kwa wadogo huu mwisho wa mwaka wamekutwa na dhahama la kusikitisha na kuhuzunisha, wamefungiwa account binafsi za benki na zile za biashara na mamlaka moja yenye nguvu.
Kwenye mazingira kama haya ambapo unaporwa hela zako zote, kuna haja gani ya kuweka pesa benki?
Waswahili wanasema tunajifunza kutokana na makosa. Makosa ya walioporwa pesa zao zilizopo benki tanatufundisha nini?
Weka pesa bank, at your own risk
Mchwa wanaingiaje kwenye safe?Pesa zako zifukie kwenye mtungi, kisha utazipta salam kwa mchwa 😀😀
Kuna mchwa wa miguu miwili ni hatari zaidiMchwa wanaingiaje kwenye safe?
View attachment 2466877
Chimba kisimaMchwa wanaingiaje kwenye safe?
View attachment 2466877
Haya mambo ya safe ndani haya nikujipalilia kifo mapema kwakweli...Mchwa wanaingiaje kwenye safe?
View attachment 2466877
Unakumbuka sakata la sukari ya MO awamu ya 5? Unakumbukuka sakata la Maziwa fresh ta Bakharesa awamu ya 5?As long as unafanya biashara pasipo kona kona sasa wasiwasi wa nini...Kwa kati ya hao umesikia Bakhresa,Mo Dewji, au hata wamiliki wa biashara za mashule na hotels wanalalamika kuzuiliwa pesa zao bank..Hao wanaolalamika ni wapumbavu kwenye industry business na ni watakatishaji wa pesa haramu, Hakika huwezi kuwa Mfanyabiashara mzuri katika nchi yako na mlipaji wa kodi kwa wakati halafu ukasumbuliwa na mambo kama hayo, Mara nyingi huwa serikali yako itakulinda kwa hali yeyote ile kwani tayari umeshakua ni faida kwao...Achana na wapumbavu wachache wasikufanye ukapoteza ufikiri wako kwa upuuzi wao..
Ndugu yangu Mpinzire yaliopita si ndwele, Tugange yajayo...Unakumbuka sakata la sukari ya MO awamu ya 5? Unakumbukuka sakata la Maziwa fresh ta Bakharesa awamu ya 5?