Nimegundua ni hatari kuhifadhi pesa benki ukiwa unafanya biashara Tanzania

Nimegundua ni hatari kuhifadhi pesa benki ukiwa unafanya biashara Tanzania

Wafanyabiashara wengi, wakubwa, wa kati kwa wadogo huu mwisho wa mwaka wamekutwa na dhahama la kusikitisha na kuhuzunisha, wamefungiwa account binafsi za benki na zile za biashara na mamlaka moja yenye nguvu.

Kwenye mazingira kama haya ambapo unaporwa hela zako zote, kuna haja gani ya kuweka pesa benki?

Waswahili wanasema tunajifunza kutokana na makosa. Makosa ya walioporwa pesa zao zilizopo benki tanatufundisha nini?

Weka pesa bank, at your own risk
Hii mamlaka toka walivyoonja nyama ya mtu kwenye utawala uliopita hawataki kuacha. Wanazama kwenye akaunt hata bila sababu. Walipumzika hapo katikati baada ya Bank kulia na huo mtindo,naona wameanza tena. Wamenogewa. Wakikufungia inaingia kukubariana nao.
Kwa kweli haina haja ya kuweka hela bank.
 
Ila tuongee ukweli, walichofanya kitaligharimu sana taifa, maana watu wataanza kuondoaha pesa zao bank kwa kasi, na wengine watazihamishia nje ya mchi pesa zao, tena baada ya kuzibadilisha kuwa dollar, madharavyake ni kama yafuatayo

1.) Benki nyingi kufa

2. Mzunguko wa pesa kupungua mtaani

3.) Pesa yetu kushuka thamani

4.) Ajira na uwekezaji kupungua

5.) Mdororo wa uchumi
Diamond "Kama Mimi muwekezaji wa ndani nimefanyiwa hivi, vipi kwa mgeni "?
 
Huu mtindo ulishikia kasi enzi za Jiwe.
Ila tuongee ukweli, walichofanya kitaligharimu sana taifa, maana watu wataanza kuondoaha pesa zao bank kwa kasi, na wengine watazihamishia nje ya mchi pesa zao, tena baada ya kuzibadilisha kuwa dollar, madharavyake ni kama yafuatayo

1.) Benki nyingi kufa

2. Mzunguko wa pesa kupungua mtaani

3.) Pesa yetu kushuka thamani

4.) Ajira na uwekezaji kupungua

5.) Mdororo wa uchumi
 
Hapo dawa ni kuwa na akaunti nyingine ambayo haijulikani kwenye biashara zako na wala haina jina lako
Unafunguaje akaunti ya aina hiyo kwa kipindi hiki ambapo karibia kila kitu kinataka namba ya nida?
 
Hii mamlaka toka walivyoonja nyama ya mtu kwenye utawala uliopita hawataki kuacha. Wanazama kwenye akaunt hata bila sababu. Walipumzika hapo katikati baada ya Bank kulia na huo mtindo,naona wameanza tena. Wamenogewa. Wakikufungia inaingia kukubariana nao.
Kwa kweli haina haja ya kuweka hela bank.
Hatari sana
 
Ni ujinga tu wa tz umewajaa kuanzia wa ngazi ya chini Hadi ya juu.
Tax system ni mbovu na Ina mianya mingi,,Sheria nyingi ni mbovu,,watu wanatamaa na uchu tu wa kupora Mali za watu.
Kama una pesa mingi fanya kama wafanyavyo wahindi na wachina nenda kawekeze nje ya nchi kule Kunako usalama.
Utaalamu wa kukusanya kodi bado uko chini Sana, wakubali kuwatumia wataalamu wa Deloitte au KPMG au PWC wawashauri na kuwajengea uwezo wa kukusanya kodi kwa ufasaha
 
Tatizo wenye nguvu kwa sasa miguru ni ana tamaa ya hatari. Mama aliwapiga stop kuingia kwenye akaunt ya mtu,lakini naona wamerudi kwa kasi,hata wakikuta milioni 30 wanaitamani. Na mama kalala usingizi
 
Sio kwa wafanyabiashara tu, hata kwa wafanyakazi na waajiriwa, ukizinguana na mwajiri wako tu boss anakwenda ku bloki akaunti yako. Hatari!!!
Kivipi? Haki za mteja ni zipi? Je mteja hana haki ya usiri na usalama wa fedha zake?
 
Diamond "Kama Mimi muwekezaji wa ndani nimefanyiwa hivi, vipi kwa mgeni "?
Alipewa barua ya wito huyu kapuku lkn akaona mitandao ya kijamii ndio kimbilio na kupost ushenzi..Ila elimu muhimu sana hata kama una pesa nyingi pasipo elimu utabaki kuwa zumbukuku..
 
As long as unafanya biashara pasipo kona kona sasa wasiwasi wa nini...Kwa kati ya hao umesikia Bakhresa,Mo Dewji, au hata wamiliki wa biashara za mashule na hotels wanalalamika kuzuiliwa pesa zao bank..Hao wanaolalamika ni wapumbavu kwenye industry business na ni watakatishaji wa pesa haramu, Hakika huwezi kuwa Mfanyabiashara mzuri katika nchi yako na mlipaji wa kodi kwa wakati halafu ukasumbuliwa na mambo kama hayo, Mara nyingi huwa serikali yako itakulinda kwa hali yeyote ile kwani tayari umeshakua ni faida kwao...Achana na wapumbavu wachache wasikufanye ukapoteza ufikiri wako kwa upuuzi wao..
Mkuu upo kwenye industry ya biashara?
 
Alipewa barua ya wito huyu kapuku lkn akaona mitandao ya kijamii ndio kimbilio na kupost ushenzi..Ila elimu muhimu sana hata kama una pesa nyingi pasipo elimu utabaki kuwa zumbukuku..
Sikujua! Maana nimesikia anasema angeitwa angeenda Mara moja! Lakini pia washauri wake wa masuala ya kodi wanafeli wapi?
 
Wafanyabiashara wengi, wakubwa, wa kati kwa wadogo huu mwisho wa mwaka wamekutwa na dhahama la kusikitisha na kuhuzunisha, wamefungiwa account binafsi za benki na zile za biashara na mamlaka moja yenye nguvu.

Kwenye mazingira kama haya ambapo unaporwa hela zako zote, kuna haja gani ya kuweka pesa benki?

Waswahili wanasema tunajifunza kutokana na makosa. Makosa ya walioporwa pesa zao zilizopo benki tanatufundisha nini?

Weka pesa bank, at your own risk
Point taken
 
As long as unafanya biashara pasipo kona kona sasa wasiwasi wa nini...Kwa kati ya hao umesikia Bakhresa,Mo Dewji, au hata wamiliki wa biashara za mashule na hotels wanalalamika kuzuiliwa pesa zao bank..Hao wanaolalamika ni wapumbavu kwenye industry business na ni watakatishaji wa pesa haramu, Hakika huwezi kuwa Mfanyabiashara mzuri katika nchi yako na mlipaji wa kodi kwa wakati halafu ukasumbuliwa na mambo kama hayo, Mara nyingi huwa serikali yako itakulinda kwa hali yeyote ile kwani tayari umeshakua ni faida kwao...Achana na wapumbavu wachache wasikufanye ukapoteza ufikiri wako kwa upuuzi wao..
lamBrianLeeSnr umeongea ukweli kwanini uogope kama upo safi? Kweli mbona kina Mo,Bakresa, au Fei toto ,Manula hawalalamiki ,ni sababu inaonekana wanalipa kodi.sasa dogo kabanwa naona anakimbilia mitandao ili apate huruma mara ooh sijui wapinzani sasa upizania gani hapo? Juzi kapiga shoo tiketi m7,m5, na m3 unategemea kama ulisema mapato yako ni kidogo na hutaki lipa watu wakufanyanye? aliminywa mesi sembuse yeye. Lipa kodi uone kama hao jamaa watashughulika na wewe.Eti mimi nataka jiachia wanaifanyia wasafi hivi sasa kama hutaki lipa kodi unategemea nani alipe.
 
Sina ushahidi wa hili lakini nadhani lina ukweli asilimia 99. Kama mambo yako yako straight hata kama hao jamaa wanataka kukuonea watakosa pa kuanzia...
Nchi za kiafrika viongozi ndiyo sheria.

Hata kama una kosa ndiyo wafunge account yako bila kukamata?

Ukifanya kosa unakamatwa, unapelekwa mahakamani kujibu mashitaka ndiyo sheria inavyofanya kazi siyo unafunguwa hujui kosa.

Kisa wameona pesa mingi na kuhisi hisi.

Ina maanisha serikali haitaki watu wawe na hela
 
lamBrianLeeSnr umeongea ukweli kwanini uogope kama upo safi? Kweli mbona kina Mo,Bakresa, au.. .
Sheria inasemaje kuhusu mhalifu? Huyo feitoto ana hela nyingi kuliko Diamond?

Kutolipa kodi ni kosa kisheria. Kwanini asikamatwe akajibu mashitaka mahakamani?

Mbona yule mama wa vitenge alipelekwa mahakamani?
 
Back
Top Bottom