Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #81
Unaliwekaje sehemu anayoina? Mwanamke sio kiumbe wa kumuamini hata kidogo kwenye issue za hela inayozidi 10mlHaya mambo ya safe ndani haya nikujipalilia kifo mapema kwakweli...
Hapo utawindwa na mwenzi wako hadi mpatie namba za siri vinginevyo yeye ndio anaweza kuwa ndio chanzo cha kuleta majambazi wa mchongo yote hiyo wachukue mitipula iliyo ndani ya hilo safe...