Nimegundua ni hatari kuhifadhi pesa benki ukiwa unafanya biashara Tanzania

Sheria inasemaje kuhusu mhalifu? Huyo feitoto ana hela nyingi kuliko Diamond?
Kutolipa kodi ni kosa kisheria. Kwanini asikamatwe akajibu mashitaka mahakamani?
Mbona yule mama wa vitenge alipelekwa mahakamani?
Walifuata taratibu zote za kisheria na wakatuma barua ya wito lkn huyo pimbi akaona haitoshi akaleta hoja kwenye mitandao ya kijamii..
 
Hivi ingelikua ni wewe ndio mhusika wa maswala ya ukusanyaji wa kodi utoaji wa taarifa juu ya ulipwaji wa kodi ungelifanyeje juu ya mbadhilifu wa sheria za ulipaji kodi kama huyu..
 
Walifuata taratibu zote za kisheria na wakatuma barua ya wito lkn huyo pimbi akaona haitoshi akaleta hoja kwenye mitandao ya kijamii..View attachment 2466791
Mbona hapo hawajaonesha kama walishamtumia barua hapo kabla akagoma?
Barua inaonesha baada ya Diamond kulalamika mtandaoni ndiyo wamemtumia barua.
Soma aya ya mwisho wa barua
 
Hivi ingelikua ni wewe ndio mhusika wa maswala ya ukusanyaji wa kodi utoaji wa taarifa juu ya ulipwaji wa kodi ungelifanyeje juu ya mbadhilifu wa sheria za ulipaji kodi kama huyu..View attachment 2466792
Mimi ningefanya hivi.
1. Nafanya uchunguzi wa kina nikashabaini ana kosa
2. Natuma polisi wanaenda kumkamata
3. Anapandishwa mahakamani kujibu mashitaka siyo tuhuma. Huwezi kumkamata mtu ukimtuhumu halafu hauna ushahidi wa uhakika.
Ndiyo sheria ilivyo. Usipolipa kodi umeenda kinyume na sheria na hapo umekuwa mhalifu. Je, wamefanya hivyo?
Tangu lini mhalifu akawa na mapatano mpk anatumiwa barua?
Mbona yule mama wa vitenge hawakumtumia barua ila walimpandisha mahakamani?
 
Haya mambo ni mageni hapa Tanzania ila huko mbele ni kawaida sana.

With time tutazoea.
Ndio watu hawajazoea na mamlaka zilikuwa hazifuatilii hiki kitu.
Ni kwamba kwenye benki kama una pesa ambazo hazina maelezo yaliyonyooka au kodi hujalipia inavyopaswa account yako itablokiwa mpaka watakapojiridhisha mambo yote ni safi.
 
Pesa zako zifukie kwenye mtungi, kisha utazipta salam kwa mchwa πŸ˜€πŸ˜€
 
Ulishaambiwa: Mayai yote kapu moja? Man karibu una bugi...

Kaa kwa kutulia mwisho wa mwaka fagio linapita kila Bank ukikutwa hueleweki eleweki unapigwa komeo
 
Unakumbuka sakata la sukari ya MO awamu ya 5? Unakumbukuka sakata la Maziwa fresh ta Bakharesa awamu ya 5?
 
Unakumbuka sakata la sukari ya MO awamu ya 5? Unakumbukuka sakata la Maziwa fresh ta Bakharesa awamu ya 5?
Ndugu yangu Mpinzire yaliopita si ndwele, Tugange yajayo...

Angalizo:
Kuna tofauti kubwa sana kati ya hayo matukio uliorodhesha hapo na hili linaoendelea kwa sasa, Ukiniambie nikufafanulie nitakuona unajambo unalitafuta au unataka tuendelee kupiga soga hapa kwenye huu uzi wa ndugu Bujibuji Simba Nyamaume labda yeye pia anaweza akawa na jambo la kuongeza juu ya hili..
 
Mbona simple tu fungua account Kama Astropay weka huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…