Nimegundua ni hatari kuhifadhi pesa benki ukiwa unafanya biashara Tanzania

Unaliwekaje sehemu anayoina? Mwanamke sio kiumbe wa kumuamini hata kidogo kwenye issue za hela inayozidi 10ml
 
Unafunguaje akaunti ya aina hiyo kwa kipindi hiki ambapo karibia kila kitu kinataka namba ya nida?
Watanzania wajinga ni wengi sana, hivyo usishangae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…