NAFTA ilishasainiwa siku nyingi sana sana Trump analalamika kuwa nchi yake inapoteza kuliko kupata. By the way sisi tunataka nini kwenye EPA? Maana nisijekuwa nabishana na kopo tupu na mfuniko wake!?
Kwa nini unasema ni makataba?Hili suala limekuwepo kwa miaka mingi, imekuwaje leo serikali imeshindwa kukataa na kulizika moja kwa moja wameamua kuongeza miezi mitatu, je hawajapitia makabrasha? Je hawajui nini wanataka? Kukwepa kuwajibika ni mojawapo ya sifa ya wapenda sifa wengi, huwa wanaogopa kuwajibika kwa maamuzi yao. Serikali ya awamu ya tano inaogopa kutake risk, ndio maana imeogopa kuupiga chini moja kwa moja mkataba wa EPA leo. What a shame
Nilimsikia Mkapa alilipinga hili zamaani, mnyonge mnyongeni....Kwa Rais wa Tanzania kukataa kusaini mkataba wa EPA anastahili pongezi
Ninafikiri tofauti.Alaaa kumbe mama Mghwira upo huku?
Naomba nikueleze tu kuwa Magufuli atake asitake huo mkataba atasaini tu!! Wenzake Kenyatta na Museven ndo wameshinikiza hilo na hicho kikao cha dharura ni kuweka mambo sawa.
Shida ni kwamba Tanzania haina vya kuuza nje .Duh hapo ndio ninapochoshwa na wasomi wa nchi hii, inakuwaje mpaka leo hamjafanya utafiti kujua faida na hasara za EPA? Kichekesho cha hali ya juu. Kweli kabisa mwenyekiti wa chama unatoka kwenye mkutano unajisifu kuwa hamjui faida au hasara za EPA na kujipa muda zaidi? Kama hakuna faida kwa nini msionyeshe msimamo na kukataa na kama kuna faida kwa nini msikubali? Je hili suala la EPA limekuja Ghafla? Nyie wanasiasa a wasomi msiofanya utafiti na msiojua wajibu wenu ni mizigo na majanga ya kitaifa. Kufanya utafiti kuhusu EPA mnaitaji miezi mitatu, are you serious?
Hilo ni jambo jingine, kusitisha ni lingine pia. Tusichanganye ili kujipa fursa kuelewa kila hatua. Kwa hiyo tusiposaini tunajipa muda kujipima. Tukisaini tunajinyima hata hiyo fursa.Shida ni kwamba Tanzania haina vya kuuza nje .
You have said, tunashangilia badala ya kushangaa!Duh hapo ndio ninapochoshwa na wasomi wa nchi hii, inakuwaje mpaka leo hamjafanya utafiti kujua faida na hasara za EPA? Kichekesho cha hali ya juu. Kweli kabisa mwenyekiti wa chama unatoka kwenye mkutano unajisifu kuwa hamjui faida au hasara za EPA na kujipa muda zaidi? Kama hakuna faida kwa nini msionyeshe msimamo na kukataa na kama kuna faida kwa nini msikubali? Je hili suala la EPA limekuja Ghafla? Nyie wanasiasa a wasomi msiofanya utafiti na msiojua wajibu wenu ni mizigo na majanga ya kitaifa. Kufanya utafiti kuhusu EPA mnaitaji miezi mitatu, are you serious?
Ngoja ukawa waje wapingane na hili maana kila kitu wanapinga ata kiwe kzuri vipi
Mama ubarikiwe sanaLeo wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wameamua kwa pamoja kusitisha kuweka sahihi mkataba wa EPA hadi Januari mwakani. Awali, Kenya na Rwanda walikuwa wamekwisha weka sahihi mikataba hii.
Uamuzi huu unaziweka nchi za ukanda huu katika nafasi salama ya kutafakari na kupima faida na hasara za kusaini mikataba hii. Tayari Tanzania imeonesha mfano kwa kusita kuingia makubaliano hadi itakapojiridhisha kuhusu faida na hasara za mkataba huu.
Nimehudhuria mkutano wa ukanda kuhusu mkataba wa EPA Afrika Mashariki na kupata nafasi kujadili mambo haya wakati wakuu wa nchi wakiweka misimamo yao. Umekuwa wakati muafaka kwa matukio haya.
Kwa kusita kusaini na kuzishawishi nchi nyingine kusubiri, Tanzania imeonesha njia katika kusimamia mikataba ya aina hii.
Nitakuja na taarifa ndefu zaidi lakini kwa hatua hii, wenzetu toka nchi jirani wametuheshimu. Tutunze heshima hii na kuendelea kuonesha njia sahihi katika masuala ya diplomasia ya biashara.
YesAsante mtoa mada. Hivi huyu Anna Mghwira ndiye aligombea urais uchaguzi mkuu wa mwaka jana (2015) kupitia ACT Wazalendo au ni mwingine?
Hatuna cha kuuza Ulaya. Kenya wanauza sana maua na mboga sasa sisi tusaini tuuze nini? Uliza ile ya USA inaitwa AGO kama kuna tunacho uza