Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana NduguAsubuhi ya leo nimeibiwa kuku wa nyama 200+ na wababa wa tano tena wana nguvu zao tu jamani😭😭😭
Alikuja mmoja na boda akasema nataka kuku 100, kaja saa12 alfajir akasema ngoja nikachukue tenga
Kurudi kaja na wababa 4 wana pickup nyeupe😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Itakuwa asubuhi ya Jana lakiniAsubuhi ya leo nimeibiwa kuku wa nyama 200+ na wababa wa tano tena wana nguvu zao tu jamani😭😭😭
Alikuja mmoja na boda akasema nataka kuku 100, kaja saa12 alfajir akasema ngoja nikachukue tenga
Kurudi kaja na wababa 4 wana pickup nyeupe😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Uwo wizi upo sana nafikiri ungekuwepo kwenye ma group ya wafuga broiler ungekuwa umeshasanuka kitambo , mara ya kwanza nasikia ilikuwa 2019 na mfugaji mwenzio aliibiwa kwa style hiyo sema aliyeiba alikuwa mwenyewe na pikipikiNi leo au tuseme jana asubuhi
yani wamekuja na pickup wakapaki nje ya geti wamekuja na tenga wamelifunga funga wakahesabu kuku 80 sijui wametumia kiini macho maana tumeona ksnisa kuku 80 wakajifanya kila mtu analipia ya kwake mmoja akasema ye hana cash ko wakalipia kuku 60
Tunaluja kuzinduka usiku huu kuku hawapo 300
Acha roho mbaya bhaña...walimuomba Mungu kabla ya kwenda kuibaTuwalaani kwa jina la Bwana.
Wafe wote
Nakuapia watakufa wote. Uliza uambiwe.Acha roho mbaya bhaña...walimuomba Mungu kabla ya kwenda kuiba
Mungu wa Israel...ila kwa maelezo ya ndugu yetu ni kwamba wezi wake ni wastaarabu..wamekuja kukagua kwanza,kisha wakaahidi kurudi na tenga,kosa naloona hapa ni kuleta pickup tu!Nakuapia watakufa wote. Uliza uambiwe.
Uombe Mungu gani ili ukavune vya wenzio?
Mbona kama ulivyoeleza ni simple kuwabaini. Kwani wanakuchanganyia wapi?Mkuu ukiingia project yeyote leta hapa jukwaani upewe maujanja usikae uruhusu mteja kuingia kwenye banda lako hata siku moja Wana namna wanakuchanganya wanakamata wawili wawili hakuna kiini macho hapo walikuona labda hujui hiyo mbinu yao na lazima muwe wawili akitoka bandani anahesabiwa mlangoni mmoja mmoja ukiwabana utaona wanazingua unatupotezea muda watajifanya kuchukia wanaondoka kumbe wanajua ujanja wao umeshtukiwa.
Hii ni kawaida sana, ndio maana hutakiwi kuruhsu mteja aingie bandani kujichagulia kuku, huwa wana ndumbaNi leo au tuseme jana asubuhi
yani wamekuja na pickup wakapaki nje ya geti wamekuja na tenga wamelifunga funga wakahesabu kuku 80 sijui wametumia kiini macho maana tumeona ksnisa kuku 80 wakajifanya kila mtu analipia ya kwake mmoja akasema ye hana cash ko wakalipia kuku 60
Tunaluja kuzinduka usiku huu kuku hawapo 300
Pole pisi wanguAsubuhi ya leo nimeibiwa kuku wa nyama 200+ na wababa wa tano tena wana nguvu zao tu jamani😭😭😭
Alikuja mmoja na boda akasema nataka kuku 100, kaja saa12 alfajir akasema ngoja nikachukue tenga
Kurudi kaja na wababa 4 wana pickup nyeupe😭😭😭😭😭😭😭😭😭