Nimeishi na Watanzania kwa muda mrefu nimegundua idadi kubwa ina tatizo la (non sequitur), tatizo la kutoa majibu yasiyoendana na maswali yaliyoulizwa

Nimeishi na Watanzania kwa muda mrefu nimegundua idadi kubwa ina tatizo la (non sequitur), tatizo la kutoa majibu yasiyoendana na maswali yaliyoulizwa

Mkuu unadhani ni kwanini wa tz wako hivyo,nini chanzo na lipi suluhisho lake??,,na haya ndo upelekea kuongea umbea,majungu na fitina kati yao,hivyo siku nzima mtu anakua non productive,,anamaliza mwaka au kuanza mwaka hana hata wazo lakuwa na malengo katika maisha yake.
 
Kuna aina tatu za kujibu swali.
1. Swali kwa swali
2.Swali kwa jibu
3.Swali kwa maelezo
 
Kwenda zako huko, hiyo sio shida ya watanzania tu bali ni suala mtambuka la binadamu wote

Kuna sheria maalum za arguing ambazo unatakiwa ujifunze

Hizo sheria ziliwekwa ili kudhibiti hayo mambo ya sequitir yanayotokana na hisia
Sikubaliani hoja yako mkuu.
Kama huna shida nyingine e.g. unahisi kufuatiliwa, ulifanya jambo ovu mahali na ukimbia, au unadaiwa i.e. una RB n.k. kwa nini usitoe jibu sahihi na fupi kabisa? Ku- argue ni kubishania hoja kwa kutoa hoja inayoonesha mtizamo wako na uelewa wako juu ya hoja iliyombele yenu mnapokuwa ni watu wengi na hoja ipo moja. Ni sawa na kusema ni mdahalo (Debate) Unaunga mkono na unawashawishi na wengine waone kama unavyoona wewe. Lakini majibu ya waTz ni swali kwa swali e.g. Swali: Hapa ni Tanzania? utajibiwa: Kwani ww ulikuwa unaenda wapi😰😰
 
Sikubaliani hoja yako mkuu.
Kama huna shida nyingine e.g. unahisi kufuatiliwa, ulifanya jambo ovu mahali na ukimbia, au unadaiwa i.e. una RB n.k. kwa nini usitoe jibu sahihi na fupi kabisa? Ku- argue ni kubishania hoja kwa kutoa hoja inayoonesha mtizamo wako na uelewa wako juu ya hoja iliyombele yenu mnapokuwa ni watu wengi na hoja ipo moja. Ni sawa na kusema ni mdahalo (Debate) Unaunga mkono na unawashawishi na wengine waone kama unavyoona wewe. Lakini majibu ya waTz ni swali kwa swali e.g. Swali: Hapa ni Tanzania? utajibiwa: Kwani ww ulikuwa unaenda wapi😰😰
hapo itabidi watu wa psychology waje watuambie
 
Mkuu unadhani ni kwanini wa tz wako hivyo,nini chanzo na lipi suluhisho lake??,,na haya ndo upelekea kuongea umbea,majungu na fitina kati yao,hivyo siku nzima mtu anakua non productive,,anamaliza mwaka au kuanza mwaka hana hata wazo lakuwa na malengo katika maisha yake.
Naamini ni dhihaka imechukua nafasi kubwa kwenye maisha yetu
Mfano mtandao wa Facebook umeharibiwa na dhihaka ndiyo maana utawasikia watu wakisema bidhaa za mtandaoni achana nazo au mchumba wa mtandaoni hafai
 
Hilo tatizo kweli lipo, hata kwenye mada za humu lipo sana tu.
 
Kwenda zako huko, hiyo sio shida ya watanzania tu bali ni suala mtambuka la binadamu wote

Kuna sheria maalum za arguing ambazo unatakiwa ujifunze

Hizo sheria ziliwekwa ili kudhibiti hayo mambo ya sequitir yanayotokana na hisia
Huwa naingia baadhi ya forums, namna wanavyojadili mada zinazoletwa na namna sisi tunavyofanya ni tofauti kabisa mkuu. Mfano ni hapa jf.

So, ni kweli hata kama ni tatizo la kidunia ila kwetu limezidi huenda.
 
hapo itabidi watu wa psychology waje watuambie
Tusubiri wakija watasema. Wakati tunasubiria.. kwani hujaiona mifano e.g. watu wanazungumzia hapa Jf yaliyojiri katika vita huko Gaza lakini ghafla bin vuu anakuja mtu anasema USA na Myahudi ni mashoga. Sasa unajiuliza; vita ni mauaji na uharibifu mkubwa; sasa habari za ushoga zinaingiaje? Hilo ni nje kabisa ya mada(Hoja).
 
Tusubiri wakija watasema. Wakati tunasubiria.. kwani hujaiona mifano e.g. watu wanazungumzia hapa Jf yaliyojiri katika vita huko Gaza lakini ghafla bin vuu anakuja mtu anasema USA na Myahudi ni mashoga. Sasa unajiuliza; vita ni mauaji na uharibifu mkubwa; sasa habari za ushoga zinaingiaje? Hilo ni nje kabisa ya mada(Hoja).
kwangu binafsi mijadala ya kihisia naiona kila mahali kuanzia youtube, reddit, quora mpaka hapa

hiyo ndo mitandao ninayotumia, labda huko kwingine watu ni wastaarabu

mimi naona ni asili ya binadamu tu kubisha na kuwa mkorofi mkorofi
 
Kuna mtu alikuja sehemu tuliokua tumekaa kabla hajafika ati anauliza haya mavi ya mbuzi nani kanya hapa?
Haloo kilichomkuta ilibidi tena tugharimie matibabu yake.
 
Nimeishi na Watanzania kwa muda mrefu nimegundua idadi kubwa ina tatizo la (non sequitur), tatizo la kutoa majibu yasiyoendana na maswali yaliyoulizwa

Hili tatizo linawasumbua sana Watanzania wenzangu inawezekana hawajofundishwa shuleni namna ya kujibu maswali kama sivyo wamejawa na dhihaka

Hili tatizo linasumbua sana hasa kwenye kuchangia hoja au kujibu maswali

Mfano mtu anaweza kuuliza hivi??

Ni nani msanii bora wa muziki Tanzania?

(Non sequitur)
1: Mziki wa Tanzania hauleweki
2: Hivi Tanzania kuna wasanii?
3: Wasanii wenyewe wako wapi

(Correct answers)
1: Nadhani Diamond Platnumz
2: Binafsi nadhani ni Alikiba

Hata katika jamii zetu hili tatizo linasumbua sana
Madhara yake makubwa ni watu kutokupata majibu ya maswali yao

Mimi Mr Why ni mpenzi wa mitandao ya kijamii huwa kichwa kinaniuma sana pale naposoma nyuzi za maswali yaliyoulizwa na wadau lakini hakuna jibu hata moja alilojibiwa zaidi ya majibu yasiyoendana na maswali

Ndani ya jamii mtu anaweza kuuliza Simba au Yanga wanacheza lini?

Non sequitur
1: Simba au Yanga wamechoka
2: Watachezaje na hawana lolote
3: Mpira wa siku hizi hamna kitu

Sahihi
1:Wanacheza kesho
2: Watacheza tarehe 5
3: Tarehe tano saa tisa

Niliacha kabisa kutumia Facebook kwasababu ya dhihaka zilizoshamiri katika mtandao huo hakuna ninachojifunza zaidi ya kuumiza macho yangu kwa mwanga wa Device

Kwahiyo nitatizo kubwa sana linalotusumbua Watanzania

Njia ya kufanya nikujibu swali moja kwa moja

Mfano wa swali

Nitapata wapi bidhaa kwa bei nzuri?

Jibu

Kariakoo
China nakadhalika

Badala ya hizo bidhaa unapeleka wapi au biashara utaiweza
Unawa compare Watanzania na mataifa gani tuseme? Logical fallacies exist in court judgements, bureaucratic decisions, academic theses and such. Real life has no need for them, and still most people make the correct choices in daily life.
 
Nimeishi na Watanzania kwa muda mrefu nimegundua idadi kubwa ina tatizo la (non sequitur), tatizo la kutoa majibu yasiyoendana na maswali yaliyoulizwa

Hili tatizo linawasumbua sana Watanzania wenzangu inawezekana hawajofundishwa shuleni namna ya kujibu maswali kama sivyo wamejawa na dhihaka

Hili tatizo linasumbua sana hasa kwenye kuchangia hoja au kujibu maswali

Mfano mtu anaweza kuuliza hivi??

Ni nani msanii bora wa muziki Tanzania?

(Non sequitur)
1: Mziki wa Tanzania hauleweki
2: Hivi Tanzania kuna wasanii?
3: Wasanii wenyewe wako wapi

(Correct answers)
1: Nadhani Diamond Platnumz
2: Binafsi nadhani ni Alikiba

Hata katika jamii zetu hili tatizo linasumbua sana
Madhara yake makubwa ni watu kutokupata majibu ya maswali yao

Mimi Mr Why ni mpenzi wa mitandao ya kijamii huwa kichwa kinaniuma sana pale naposoma nyuzi za maswali yaliyoulizwa na wadau lakini hakuna jibu hata moja alilojibiwa zaidi ya majibu yasiyoendana na maswali

Ndani ya jamii mtu anaweza kuuliza Simba au Yanga wanacheza lini?

Non sequitur
1: Simba au Yanga wamechoka
2: Watachezaje na hawana lolote
3: Mpira wa siku hizi hamna kitu

Sahihi
1:Wanacheza kesho
2: Watacheza tarehe 5
3: Tarehe tano saa tisa

Niliacha kabisa kutumia Facebook kwasababu ya dhihaka zilizoshamiri katika mtandao huo hakuna ninachojifunza zaidi ya kuumiza macho yangu kwa mwanga wa Device

Kwahiyo nitatizo kubwa sana linalotusumbua Watanzania

Njia ya kufanya nikujibu swali moja kwa moja

Mfano wa swali

Nitapata wapi bidhaa kwa bei nzuri?

Jibu

Kariakoo
China nakadhalika

Badala ya hizo bidhaa unapeleka wapi au biashara utaiweza
Unajua hiyo kitu inasababishwa na nini? UJINGA ULIOTOPEA.
 
Nimeishi na Watanzania kwa muda mrefu nimegundua idadi kubwa ina tatizo la (non sequitur), tatizo la kutoa majibu yasiyoendana na maswali yaliyoulizwa

Hili tatizo linawasumbua sana Watanzania wenzangu inawezekana hawajofundishwa shuleni namna ya kujibu maswali kama sivyo wamejawa na dhihaka

Hili tatizo linasumbua sana hasa kwenye kuchangia hoja au kujibu maswali

Mfano mtu anaweza kuuliza hivi??

Ni nani msanii bora wa muziki Tanzania?

(Non sequitur)
1: Mziki wa Tanzania hauleweki
2: Hivi Tanzania kuna wasanii?
3: Wasanii wenyewe wako wapi

(Correct answers)
1: Nadhani Diamond Platnumz
2: Binafsi nadhani ni Alikiba

Hata katika jamii zetu hili tatizo linasumbua sana
Madhara yake makubwa ni watu kutokupata majibu ya maswali yao

Mimi Mr Why ni mpenzi wa mitandao ya kijamii huwa kichwa kinaniuma sana pale naposoma nyuzi za maswali yaliyoulizwa na wadau lakini hakuna jibu hata moja alilojibiwa zaidi ya majibu yasiyoendana na maswali

Ndani ya jamii mtu anaweza kuuliza Simba au Yanga wanacheza lini?

Non sequitur
1: Simba au Yanga wamechoka
2: Watachezaje na hawana lolote
3: Mpira wa siku hizi hamna kitu

Sahihi
1:Wanacheza kesho
2: Watacheza tarehe 5
3: Tarehe tano saa tisa

Niliacha kabisa kutumia Facebook kwasababu ya dhihaka zilizoshamiri katika mtandao huo hakuna ninachojifunza zaidi ya kuumiza macho yangu kwa mwanga wa Device

Kwahiyo nitatizo kubwa sana linalotusumbua Watanzania

Njia ya kufanya nikujibu swali moja kwa moja

Mfano wa swali

Nitapata wapi bidhaa kwa bei nzuri?

Jibu

Kariakoo
China nakadhalika

Badala ya hizo bidhaa unapeleka wapi au biashara utaiweza
Maisha hayako serious kiasi hicho, kaa bar agiza castle lite relax mkuu, kwan huu uzi unahusu nn
 
Kila binadamu ana matatizo.

Sio watanzania tu. Hata wazungu, wahindi, wafilipino, wachina n.k

Hakuna universal formula ya kumjibu mtu.

Mtu atatoa jibu kulingana na mood na uelewa wake.
 
Hiyo kitu iachie AI sababu it's purely logical, soul-less, void of any sense of culture and without any human feelings
 
Back
Top Bottom