Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Mlolongo wote uko hapa TANZIA - Jimmy Carter, aliyekuwa Rais wa 39 wa Marekani afariki duniaJana nilimuuliza Nyani Ngabu kama aliwahi kufa badala anijibu eti ananiuliza "Kwani wewe uliwahi kufa"?
Sikubaliani hoja yako mkuu.Kwenda zako huko, hiyo sio shida ya watanzania tu bali ni suala mtambuka la binadamu wote
Kuna sheria maalum za arguing ambazo unatakiwa ujifunze
Hizo sheria ziliwekwa ili kudhibiti hayo mambo ya sequitir yanayotokana na hisia
hapo itabidi watu wa psychology waje watuambieSikubaliani hoja yako mkuu.
Kama huna shida nyingine e.g. unahisi kufuatiliwa, ulifanya jambo ovu mahali na ukimbia, au unadaiwa i.e. una RB n.k. kwa nini usitoe jibu sahihi na fupi kabisa? Ku- argue ni kubishania hoja kwa kutoa hoja inayoonesha mtizamo wako na uelewa wako juu ya hoja iliyombele yenu mnapokuwa ni watu wengi na hoja ipo moja. Ni sawa na kusema ni mdahalo (Debate) Unaunga mkono na unawashawishi na wengine waone kama unavyoona wewe. Lakini majibu ya waTz ni swali kwa swali e.g. Swali: Hapa ni Tanzania? utajibiwa: Kwani ww ulikuwa unaenda wapi😰😰
Naamini ni dhihaka imechukua nafasi kubwa kwenye maisha yetuMkuu unadhani ni kwanini wa tz wako hivyo,nini chanzo na lipi suluhisho lake??,,na haya ndo upelekea kuongea umbea,majungu na fitina kati yao,hivyo siku nzima mtu anakua non productive,,anamaliza mwaka au kuanza mwaka hana hata wazo lakuwa na malengo katika maisha yake.
Huwa naingia baadhi ya forums, namna wanavyojadili mada zinazoletwa na namna sisi tunavyofanya ni tofauti kabisa mkuu. Mfano ni hapa jf.Kwenda zako huko, hiyo sio shida ya watanzania tu bali ni suala mtambuka la binadamu wote
Kuna sheria maalum za arguing ambazo unatakiwa ujifunze
Hizo sheria ziliwekwa ili kudhibiti hayo mambo ya sequitir yanayotokana na hisia
Tusubiri wakija watasema. Wakati tunasubiria.. kwani hujaiona mifano e.g. watu wanazungumzia hapa Jf yaliyojiri katika vita huko Gaza lakini ghafla bin vuu anakuja mtu anasema USA na Myahudi ni mashoga. Sasa unajiuliza; vita ni mauaji na uharibifu mkubwa; sasa habari za ushoga zinaingiaje? Hilo ni nje kabisa ya mada(Hoja).hapo itabidi watu wa psychology waje watuambie
kwangu binafsi mijadala ya kihisia naiona kila mahali kuanzia youtube, reddit, quora mpaka hapaTusubiri wakija watasema. Wakati tunasubiria.. kwani hujaiona mifano e.g. watu wanazungumzia hapa Jf yaliyojiri katika vita huko Gaza lakini ghafla bin vuu anakuja mtu anasema USA na Myahudi ni mashoga. Sasa unajiuliza; vita ni mauaji na uharibifu mkubwa; sasa habari za ushoga zinaingiaje? Hilo ni nje kabisa ya mada(Hoja).
Jibu fupi, jibu la refu, mna maelezo nayo ni jibuKuna aina tatu za kujibu swali.
1. Swali kwa swali
2.Swali kwa jibu
3.Swali kwa maelezo
Unawa compare Watanzania na mataifa gani tuseme? Logical fallacies exist in court judgements, bureaucratic decisions, academic theses and such. Real life has no need for them, and still most people make the correct choices in daily life.Nimeishi na Watanzania kwa muda mrefu nimegundua idadi kubwa ina tatizo la (non sequitur), tatizo la kutoa majibu yasiyoendana na maswali yaliyoulizwa
Hili tatizo linawasumbua sana Watanzania wenzangu inawezekana hawajofundishwa shuleni namna ya kujibu maswali kama sivyo wamejawa na dhihaka
Hili tatizo linasumbua sana hasa kwenye kuchangia hoja au kujibu maswali
Mfano mtu anaweza kuuliza hivi??
Ni nani msanii bora wa muziki Tanzania?
(Non sequitur)
1: Mziki wa Tanzania hauleweki
2: Hivi Tanzania kuna wasanii?
3: Wasanii wenyewe wako wapi
(Correct answers)
1: Nadhani Diamond Platnumz
2: Binafsi nadhani ni Alikiba
Hata katika jamii zetu hili tatizo linasumbua sana
Madhara yake makubwa ni watu kutokupata majibu ya maswali yao
Mimi Mr Why ni mpenzi wa mitandao ya kijamii huwa kichwa kinaniuma sana pale naposoma nyuzi za maswali yaliyoulizwa na wadau lakini hakuna jibu hata moja alilojibiwa zaidi ya majibu yasiyoendana na maswali
Ndani ya jamii mtu anaweza kuuliza Simba au Yanga wanacheza lini?
Non sequitur
1: Simba au Yanga wamechoka
2: Watachezaje na hawana lolote
3: Mpira wa siku hizi hamna kitu
Sahihi
1:Wanacheza kesho
2: Watacheza tarehe 5
3: Tarehe tano saa tisa
Niliacha kabisa kutumia Facebook kwasababu ya dhihaka zilizoshamiri katika mtandao huo hakuna ninachojifunza zaidi ya kuumiza macho yangu kwa mwanga wa Device
Kwahiyo nitatizo kubwa sana linalotusumbua Watanzania
Njia ya kufanya nikujibu swali moja kwa moja
Mfano wa swali
Nitapata wapi bidhaa kwa bei nzuri?
Jibu
Kariakoo
China nakadhalika
Badala ya hizo bidhaa unapeleka wapi au biashara utaiweza
Unajua hiyo kitu inasababishwa na nini? UJINGA ULIOTOPEA.Nimeishi na Watanzania kwa muda mrefu nimegundua idadi kubwa ina tatizo la (non sequitur), tatizo la kutoa majibu yasiyoendana na maswali yaliyoulizwa
Hili tatizo linawasumbua sana Watanzania wenzangu inawezekana hawajofundishwa shuleni namna ya kujibu maswali kama sivyo wamejawa na dhihaka
Hili tatizo linasumbua sana hasa kwenye kuchangia hoja au kujibu maswali
Mfano mtu anaweza kuuliza hivi??
Ni nani msanii bora wa muziki Tanzania?
(Non sequitur)
1: Mziki wa Tanzania hauleweki
2: Hivi Tanzania kuna wasanii?
3: Wasanii wenyewe wako wapi
(Correct answers)
1: Nadhani Diamond Platnumz
2: Binafsi nadhani ni Alikiba
Hata katika jamii zetu hili tatizo linasumbua sana
Madhara yake makubwa ni watu kutokupata majibu ya maswali yao
Mimi Mr Why ni mpenzi wa mitandao ya kijamii huwa kichwa kinaniuma sana pale naposoma nyuzi za maswali yaliyoulizwa na wadau lakini hakuna jibu hata moja alilojibiwa zaidi ya majibu yasiyoendana na maswali
Ndani ya jamii mtu anaweza kuuliza Simba au Yanga wanacheza lini?
Non sequitur
1: Simba au Yanga wamechoka
2: Watachezaje na hawana lolote
3: Mpira wa siku hizi hamna kitu
Sahihi
1:Wanacheza kesho
2: Watacheza tarehe 5
3: Tarehe tano saa tisa
Niliacha kabisa kutumia Facebook kwasababu ya dhihaka zilizoshamiri katika mtandao huo hakuna ninachojifunza zaidi ya kuumiza macho yangu kwa mwanga wa Device
Kwahiyo nitatizo kubwa sana linalotusumbua Watanzania
Njia ya kufanya nikujibu swali moja kwa moja
Mfano wa swali
Nitapata wapi bidhaa kwa bei nzuri?
Jibu
Kariakoo
China nakadhalika
Badala ya hizo bidhaa unapeleka wapi au biashara utaiweza
Du kweli jamaa nomaMlolongo wote uko hapa TANZIA - Jimmy Carter, aliyekuwa Rais wa 39 wa Marekani afariki dunia
Wewe ni muongo mkubwa.
Maisha hayako serious kiasi hicho, kaa bar agiza castle lite relax mkuu, kwan huu uzi unahusu nnNimeishi na Watanzania kwa muda mrefu nimegundua idadi kubwa ina tatizo la (non sequitur), tatizo la kutoa majibu yasiyoendana na maswali yaliyoulizwa
Hili tatizo linawasumbua sana Watanzania wenzangu inawezekana hawajofundishwa shuleni namna ya kujibu maswali kama sivyo wamejawa na dhihaka
Hili tatizo linasumbua sana hasa kwenye kuchangia hoja au kujibu maswali
Mfano mtu anaweza kuuliza hivi??
Ni nani msanii bora wa muziki Tanzania?
(Non sequitur)
1: Mziki wa Tanzania hauleweki
2: Hivi Tanzania kuna wasanii?
3: Wasanii wenyewe wako wapi
(Correct answers)
1: Nadhani Diamond Platnumz
2: Binafsi nadhani ni Alikiba
Hata katika jamii zetu hili tatizo linasumbua sana
Madhara yake makubwa ni watu kutokupata majibu ya maswali yao
Mimi Mr Why ni mpenzi wa mitandao ya kijamii huwa kichwa kinaniuma sana pale naposoma nyuzi za maswali yaliyoulizwa na wadau lakini hakuna jibu hata moja alilojibiwa zaidi ya majibu yasiyoendana na maswali
Ndani ya jamii mtu anaweza kuuliza Simba au Yanga wanacheza lini?
Non sequitur
1: Simba au Yanga wamechoka
2: Watachezaje na hawana lolote
3: Mpira wa siku hizi hamna kitu
Sahihi
1:Wanacheza kesho
2: Watacheza tarehe 5
3: Tarehe tano saa tisa
Niliacha kabisa kutumia Facebook kwasababu ya dhihaka zilizoshamiri katika mtandao huo hakuna ninachojifunza zaidi ya kuumiza macho yangu kwa mwanga wa Device
Kwahiyo nitatizo kubwa sana linalotusumbua Watanzania
Njia ya kufanya nikujibu swali moja kwa moja
Mfano wa swali
Nitapata wapi bidhaa kwa bei nzuri?
Jibu
Kariakoo
China nakadhalika
Badala ya hizo bidhaa unapeleka wapi au biashara utaiweza