Nimejikuta nafikiria na kuwakumbuka hawa watu...


Haya sasa. Kutaniko takatifu ni saa ngapi?
 
Last edited by a moderator:
Afadhali binamu umeonekana bana
Naamini unaendelea na malezi vyema
Usipotee hivyo binamu yangu Zion Daughter



Ameshaacha huyo kijana sijui alipata ndyofu mchana huu



Msamehe bure hana makosa ndyofu ndio zinaongea
cc Kaizer

Ati nauliza....kwani umehamia team bazazi?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Nicas Mtei umeona eehh na jamaa ni mwanaume ila anapost vitu kama vile na sijui mods walikuwa wameenda likizo au walikuwa na hang over za sikukuu
cc Paw
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Aisee nitafurahije ila sipapendi sana hapo kuna chimbo linaitwa 'Cheers' mnyama katulia na wapishi poa kabisa ila radio call not reachable bana kulikoni

Hahah hapo tulikuwa jana na Mtambuzi chupuchupu alambwe ngumi na meneja.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…