Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,097
Ameniambia eti umekimbia nyumbani hujaonekana leo siku ya tatu toka eid ianze Kaizer hebu thibitisha hapa
Hivi kwani mimi ndo nilikuwa na makosa Nicas Mtei na Kaizer
miss chagga hana kiota kingine zaidi ya cha kwangu
Nilifuata sana ila sikuwa na namna tyre za baiskeli yangu zilipasuka zote nikashindwa kuwahi mazoezi
nicas toa maelekezo bana
Mhhh hapa ni faini au ni hasara sasa
Kiwanja kile kile aise hakina kunguru wengi bana
cc Nicas Mtei na Kaizer
Haya sasa. Kutaniko takatifu ni saa ngapi?
Last edited by a moderator: