Nimejipa adhabu ya kukaa siku 1,000 bila kushiriki ngono kwa njia yeyote ile

Chaiii eti ndooo
 
Eeeh i want to feel it na mimi ngoja nijaribu
 
Asante sana kwa kujitekenya

Kila la heri katika harakati za kupingana na nature

Kesho asubuhi tu hapo uje na ushuhuda
Joanah kuna mtu aliwahi kaa 3 years bila hiyo kitu ni kweli ila ni ngumu kuamini ila ni ukweli kabisa
 
labda kwa uwezo wa roho mtakatifu ila hiv hivi hutoboi πŸ˜…πŸ˜‚
 
Mtoaa mada baada ya kupiga punyeto genye zimeishaa umefunguaa uzi,
Ngoja baada ya siku 2 urudi apaa tena.
 
CCM NI WAPUMBAVU SANA
 
Umeogopa baada ya kusikia marekani imejitoa kwenye kutoa misaada, tumegundua janja zako baada ya kusikia ARV hazitapatikana
Ni hatari mkuu ni hatari
 
Hujapigwa baridi wewe utarudi CHAPUTA kwa kasi ya 5G
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…