Nimejipa adhabu ya kukaa siku 1,000 bila kushiriki ngono kwa njia yeyote ile

Kama atakua anakula vzr na kushiba sioni akitoboa ata miezi 4 itakua ngumu kwake πŸ˜„
Inawezekana bila shida it depends na vipaumbele alivyojiwekea na lengo hasa ni nini.. ngono kwanza ni dhambi labda kama hauna imani lkn pia ngono ni mikosi na ndio maaana ni njia ya vijana wengi kukwama kiuchumi. Ukiwa na ratiba ngumu ya kazi zako na mazoezi makali kwa ajili ya kujilinda na mawazo ya Kingono utaitaj kulala tu
 
Ingekuwa baada ya hichi kiapo chako ukisaliti unakufa apo sawa vinginevyo hizi ni bla blah tu, utakuja 2027 kusema hukufanya ila hakuna ushahidi wowote.
Ili kudhibitisha hilo aje na picha ya operation ya kukatwa mapumbu au mboo 🀣 hapo ntaamini yupo serious. Vinginevyo kiapo hicho kitakuwa ni sawa na vigano na visasili tu.
 
Unazifahamu ndoto nyevu?
 
Ukifanikiwa kama hautokuwa mgonjwa,basi utakuwa na tatizo mahali
yani hilo zoezi lako ni sawa na kukaa wiki mbili bila kula wala kunywa
 
Ili kudhibitisha hilo aje na picha ya operation ya kukatwa mapumbu au mboo 🀣 hapo ntaamini yupo serious. Vinginevyo kiapo hicho kitakuwa ni sawa na vigano na visasili tu.
Unapenda kiswahili wewe dogo ulipata A nn!?
 
Ulikuwa US kipindi cha Biden nini?
 
Naam mkuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…