CCM NI MAVI ...HATA BABA YAKO AU MAMA YAKO MZAZI AKIWA ANASHABIKIA CCM HUYO NAYE NI MAFII YA CHOONI TU.HUO NDIYO UKWELI NA UKWELI UTATUWEKA HURU ...JAPO WANAFIKI NA WAPUMBAVU WATASEMA TUNATUKANA.Maswali yafuatayo ndiyo yamenitoa machozi.
Nimejiuliza kwamba;-
1. Kumbe haya ni mataifa 2 tofauti? Kila moja lina katiba yake, wimbo wake, jeshi lake na rais wake?
2. Kwahiyo hivi Sasa Tanganyika inaongozwa na raia wa kigeni??
Hilo swali la 2 ndiyo limeniumiza zaidi.
Tanganyika .Kiufupi tu ni kuwa Tanzania tunaongozwa na mkoloni mpemba
Maza mwenyewe anaweza kuwa na Uraia pacha kama Mjomba wake wa Oman. Zuhura Yunus, Msemaji wa Rais ni raia wa UK. Anything is possible.Halafu Mtu anakuja kusema Uraia pacha hauruhusiwi🤣😆😂
Maswali yafuatayo ndiyo yamenitoa machozi.
Nimejiuliza kwamba;-
1. Kumbe haya ni mataifa 2 tofauti? Kila moja lina katiba yake, wimbo wake, jeshi lake na rais wake?
2. Kwahiyo hivi Sasa Tanganyika inaongozwa na raia wa kigeni??
Hilo swali la 2 ndiyo limeniumiza zaidi.
Ina maana wewe hujui? sisi kila siku tunalalamika hapa mnatuona wajingaMaswali yafuatayo ndiyo yamenitoa machozi.
Nimejiuliza kwamba;-
1. Kumbe haya ni mataifa 2 tofauti? Kila moja lina katiba yake, wimbo wake, jeshi lake na rais wake?
2. Kwahiyo hivi Sasa Tanganyika inaongozwa na raia wa kigeni??
Hilo swali la 2 ndiyo limeniumiza zaidi.
Sisi ni mateka wa ZanzibarKiufupi tu ni kuwa Tanzania tunaongozwa na mkoloni mpemba
Wanyonge ni Tanganyika tu,hatuna wimbo wetuMaswali yafuatayo ndiyo yamenitoa machozi.
Nimejiuliza kwamba;-
1. Kumbe haya ni mataifa 2 tofauti? Kila moja lina katiba yake, wimbo wake, jeshi lake na rais wake?
2. Kwahiyo hivi Sasa Tanganyika inaongozwa na raia wa kigeni??
Hilo swali la 2 ndiyo limeniumiza zaidi.
Hujui hizi nchi ni za kiswahili na mambo yake ni ya kiswahili?Maswali yafuatayo ndiyo yamenitoa machozi.
Nimejiuliza kwamba:
1. Kumbe haya ni mataifa 2 tofauti? Kila moja lina katiba yake, wimbo wake, jeshi lake na rais wake?
2. Kwahiyo hivi Sasa Tanganyika inaongozwa na raia wa kigeni??
Hilo swali la 2 ndiyo limeniumiza zaidi.
Leo ndo unalijua hilo?shida wadanganyika hamjiongezi mmekalia uchawa tu.sijawahi ona tangu nizaliwe nchi kuzalisha machawa kiasi hichoMaswali yafuatayo ndiyo yamenitoa machozi.
Nimejiuliza kwamba:
1. Kumbe haya ni mataifa 2 tofauti? Kila moja lina katiba yake, wimbo wake, jeshi lake na rais wake?
2. Kwahiyo hivi Sasa Tanganyika inaongozwa na raia wa kigeni??
Hilo swali la 2 ndiyo limeniumiza zaidi.
Unafiki wa Nyerere, tunamkumbuka sana Kambona kwa fikra zakeHuu muungano sijui waliwazaga nini wazee wetu
Basi umechelewa Sana kujua.Maswali yafuatayo ndiyo yamenitoa machozi.
Nimejiuliza kwamba:
1. Kumbe haya ni mataifa 2 tofauti? Kila moja lina katiba yake, wimbo wake, jeshi lake na rais wake?
2. Kwahiyo hivi Sasa Tanganyika inaongozwa na raia wa kigeni??
Hilo swali la 2 ndiyo limeniumiza zaidi.
Mimi niwe tu mkweli. Huu Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar, unanikera mpaka basi. Maana una mapungufu mengi kupitiliza. I wish ningekuwa Mr. President wa Tanganyika. Aisee ndani ya mwaka mmoja tu, hawa kupe wangekuwa wanajitegemea wenyewe kwa kila kitu.Maswali yafuatayo ndiyo yamenitoa machozi.
Nimejiuliza kwamba:
1. Kumbe haya ni mataifa 2 tofauti? Kila moja lina katiba yake, wimbo wake, jeshi lake na rais wake?
2. Kwahiyo hivi Sasa Tanganyika inaongozwa na raia wa kigeni??
Hilo swali la 2 ndiyo limeniumiza zaidi.
Wakati tayari uraia pacha unafanya kazi. Na raia wa nchi ya kigeni ndiye rais wa TanganyikaHalafu Mtu anakuja kusema Uraia pacha hauruhusiwi🤣😆😂
Wewe umeliona hilo mbona wazanzibari hawalalamiki rais wao kuchaguliwa DodomaMaswali yafuatayo ndiyo yamenitoa machozi.
Nimejiuliza kwamba:
1. Kumbe haya ni mataifa 2 tofauti? Kila moja lina katiba yake, wimbo wake, jeshi lake na rais wake?
2. Kwahiyo hivi Sasa Tanganyika inaongozwa na raia wa kigeni??
Hilo swali la 2 ndiyo limeniumiza zaidi.
Mtsnganyika huruhusiwiHii inaumiza Sana, kwenye mambo yanayoihusu Tanganyika Z'bar ipo ila mambo yanayoihusu serikali ya visiwani Tanganyika haipo. Yaani tunapigwa huku tukiona na hatuna namna. Serikali ya CCM ndio mchawi hapa
Watalalamikaje wkt wao wanafaidi matunda ya Muungano?kwani hata akichaguliwa Dodoma wanapoteza nini?Wewe umeliona hilo mbona wazanzibari hawalalamiki rais wao kuchaguliwa Dodoma
Hata kuishi huko lazima uwe na permitMtsnganyika huruhusiwi
1. Kugombea cheo chochote kule visiwani, hata uenyekiti wa mtaa. Wao rukhusa kugombea Tanganyika mpk urais.
2. Kumiliki ardhi hata ya kujenga FREMU.
Lkn wao rukhusa mpk kumiliki mamilioni ya ekari.
Sema Nyerere aliwaza nini...kwa Karume it was very clear alitaka muungano wa federation huku kila nchi ikibaki na utawala wake wa ndani....Huu muungano sijui waliwazaga nini wazee wetu