Nimejitahidi kila mbinu kuwa mwanaintelijensia bila mafanikio

Kuna kitu inaitwa Berreta 9mm
Itakuwa ww n walewale




Unamaanisha hiyo sio ww lazima upo kwa syt ww [emoji28][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji1787]


Nifanyie mpango
Nikipita na kuajiriwa nusu ya mshahara wangu kwa mwaka utanunulia[emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482]
 
Kwa kubwatuka namna hui, hawatakuchukua kamwe. Sifa yao mojawapo ni vitendo na si maneno hasa ya kujisifu.
 
Kwa kubwatuka namna hui, hawatakuchukua kamwe. Sifa yao mojawapo ni vitendo na si maneno hasa ya kujisifu.
Ulishawahi kukutana na Theeth hata mmoja akiwa uraiani????
 
Ila wadau
Teeth ilikuwa Exaggerated sana hasa 2010-2021


Wadau WA 2009 walikuwa wanasema office zao zilikuwa Hadi zinapokea raia wakawaida wanaotoa ushauri na kupokea Malalamiko



Arusha DSO alishawahi ekwa ndani on corruption charges


Komba wetu akauwawa et mwizi wa Nissan


Nk nk.

Namwomba mungu sana 2026 niwetayari promoted Makao makuu Theeth
 
Mimi najua fika nina potentials za hiyo kazi ila utafiti wangu ukinionesha sio kazi nzuri ya kufanya kwa mustakabali wa maisha yangu hasa kwa uwezo nilijaaliwa na Mungu! Nakushauri sana achana na hilo wazo,tafuta maisha katika angle nyingine.Sina namna nyingine ya kukuonya usikie!
 
Hivyo ni inavyotakiwa kuwa shangaa ilivyo sasa.........
 
UNAJIONGELEA WW ALAFU UNATAKA MM NIFUATE UNAYOYAFANYA AU KUFANYA

KAMA WW UMEFUKUZWA UKO BYE



WATU HADI WAMESTAAFU UNASEMA UMEJALIWA SASA HATA HAUWI MUWAZI UMEJALIWAJE WW N MTOTO WA MPARE WENYE KUITWA DIWANI AU
 
(We jamaa ww)
Mimi najua fika nina potentials za hiyo kazi
(Eeh elezea upotentia huo)
kazi ila utafiti wangu
(Elezea utafiti Gani vitabu n.k)
ukinionesha sio kazi nzuri ya kufanya kwa mustakabali wa maisha yangu
(Hahahaha kuwa Africa tuu unamstakabali kama kufa ata ulipolala umeme tuuu unaweza kukuua na kukukausha ajali nk)
hasa kwa uwezo nilijaaliwa na Mungu!
(Elezea uwezo gan)
Nakushauri sana achana na hilo wazo
(Hapo ndo umeharibu kabisa)
tafuta maisha katika angle nyingine.
(Ww umekosa ND unanishauri nitafute angle nyingine hujataga angle gan na CV umeona na unajua mm jobless wa muda mrefu )
Sina namna nyingine ya kukuonya usikie!
(Kunionya Tena)
(Naomba ulale)

(Kwa ulivyoandika bila shaka ww msabato)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…