uvccm unaowaona badae wanakuja kuwa usalama ni wale ambao familia zao zipo tangu zamani kwenye inner circel; sio umetoka zako mbwinde huko ukazani kuwa na kijikadi cha chama ndo umemaliza,Ndo ilivyosemekana hujasoma hapo juu
Ilisemekana sana hata hapa jf ooh kila UVCCM Mchongo wa USALAMA n Rais
Napicha za UVCCM na baada walivyokuwa usalama
wapo wengi humu, wengine hawataki kuyazungumzia, Hiyo simu yako haina herufi ndogo? wengine tuna matatizo ya macho, hatuoni herufi kubwa![emoji2958]KINA PINDA,LOWASSA MZEE WA SOMA HIYO KAMA VYIGEZO NDO HIVYO SIJUI WANGEINGIAJE
KINA MAHIGE
KINA KOMBA
KINA APSON
KINA KIPILIMBA
KINA OTHMAN
Ngoja nikutafutie namba zakeEmb niconnect naye au nitapeli maana kwenye kushonea suti?
Yupo jf?
Nikonect naye
Ana connection za kuingia TISSNDO NANI???
AiseePole sana bwana titan51
Njoo kwa Mungu, Kuna Kitengo Cha INTELEJENSIA YA ROHONI..
Hiki ni zaidi Tiss.. Njoo, Nitakusaidia USAJILIWE "kitengoni" bila kutoa "cheda/mtonyo"..
Na ukiwa mwana intelejensia wa kiroho basi kwako wewe hesabu Maisha umetoboa [emoji817] POPOTE KAMBI, POPOTE UNATAMBA.
INTELEJENSIA YA ROHONI
Kwenye shule sijagusia Ila nimesoma shule Bora kabisaMrema usalama, Mahiga alikua usalama, Zitto usalama. What do they all have in common? Walisoma shule nzuri za serikali. Tosamaganga, Tabora Boys, Ilboru etc