TheCombination
JF-Expert Member
- May 21, 2021
- 370
- 729
Asipokuelewa ndio bas tenaTafuta Hela Mkuu acha kuwaza mambo yatakayokufanya uwe mtumwa kwa maisha yako yote mimi bado sijaona Sababu zozote za kutamani izo kazi, Fanya biashara uwe na financial freedom
Possible maana mi mdogo angu range alikiua wa kwanza jsk oljoro na wakata kumbakiksha ila akapiga chini akaenda kusoma diploma ya medical kwanza now ndio kajoin tpdf directly maana walimtaka wao.ila hii ni baada ya kukosa kazi ya udaktariUnajua maana ya passion
Passion ni zaidi ya pesa
Pesa Huwa ndani yake Mr
Ata talent
Naana mfano JKT nilikuwa wa3 kwa Shabaha tulivyoenda Range
Lini ali-join?Possible maana mi mdogo angu range alikiua wa kwanza jsk oljoro na wakata kumbakiksha ila akapiga chini akaenda kusoma diploma ya medical kwanza now ndio kajoin tpdf directly maana walimtaka wao.ila hii ni baada ya kukosa kazi ya udaktari
Walimpigia baada ya miaka yote hiyo au?Possible maana mi mdogo angu range alikiua wa kwanza jsk oljoro na wakata kumbakiksha ila akapiga chini akaenda kusoma diploma ya medical kwanza now ndio kajoin tpdf directly maana walimtaka wao.ila hii ni baada ya kukosa kazi ya udaktari
ACHENI TUU NILIKUWA NATABIA YA KUKESHA LIBRARYPossible maana mi mdogo angu range alikiua wa kwanza jsk oljoro na wakata kumbakiksha ila akapiga chini akaenda kusoma diploma ya medical kwanza now ndio kajoin tpdf directly maana walimtaka wao.ila hii ni baada ya kukosa kazi ya udaktari
Thibitisha hii
Kajoin mwaka juz now yuko Ruvuma hukooLini ali-join?
Yupo kambi gani? Je, na wote wanaofanya vizuri kwenye range hupata pendekezo la kubaki?Kajoin mwaka juz now yuko Ruvuma hukoo
TISS WATAANGAZE KAZI WAZI SASA WANAFICHA NN AKAT TPDF WAKO WAZIKajoin mwaka juz now yuko Ruvuma hukoo
Duh...!. Kumbe...!. Wengine tulikuwa hatujui, kupitia kwako sasa ndio tumejua!. Masikini wewe ulikuwa hujui, kumbe yote hayo ndio ilikuwa interview yako, kwa taarifa hii uliotoa humu, I'm very sorry kukujulisha kuwa umefeli!.HASA ZILIZOKUWA ZINAMHUSU KUPIGWA RISASI TUNDU LISU NA KUFUTA KUMHUSISHA
DGIS FRANSIS MODESTUS KIPILIMBA
Duh...!. Kumbe...!. Wengine tulikuwa hatujui, kupitia kwako sasa ndio tumejua!. Masikini wewe ulikuwa yote hayo ndio ilikuwa interview yako, kwa taarifa hii uliotoa humu, I'm very sorry kukujulisha kuwa umefeli!.
Pole!.
P