Afu kaniona ila bado atataka ahakikishe.ha ha ha haaaaaaaaaa
kweli lazima mvutwe na trela! Daaah mdude huo mpaka upekenyue kufikia papuchi ushatokwa jachoooo😀😀😀
Ndio maana nakuuliza kabisa.Ahh inategemea Hadi mnakubaliana kukutana mlikuwa katika Hali zipi na motives zenu zilikwaje, mambo ya posho kila mkutanapo ni changamoto pia
Ha ha ha haMimi ukiniita, umenipenda....hujanipenda, lazima nauli unipe, tena ya Uber.
Yaani umenitoa zangu kitandani afu unanirudisha mswaki!!!
Weeee....!!!!
Nakumbuka enzi zile Masai club kabla haijawa hivi ilivyo,ndo lilikuwa chimbo langu la kuwasanifu wanaume.
Nakuita afu nabana simu katikati ya mapaja ikiwa silence.
Ukifika na hueleweki, utapiga simu mpaka uzimie.
Ila nikikupenda....nakunywea na nauli unatoa.
Ila sa hv nimekua....nakuitia IT Plaza au Patapata Lounge
Ukianza kuleta udhuru, najua huna chapaa.
Naachana nawe
Wanaume wa humu huwa hawakui mileleKamsumbua Dada wa watu hafu kaja kumnanga huku eti mubaya yeye mzuri, gentleman huwa hafanyi huo ujinga aisee
Na maisha yanasonga vilevileHa ha ha ha
Ni kutokujielewa tu hyo tabia aisee unataka sura nzuri wewe ni mzuri kiasi gani hafu anakuja kuanzisha Uzi kabisa aisee toka lini filters ikabadili sura ya mtu zaidi ya rangi tu basi.Ninachoshindwa kuwaelewa vijana, kwa nini umkimbie mtu? Kisa sura? umbo? rangi? Nini hasa kinachokufanya umkimbie mtu.
Ni tabia mbaya, hasa kwa wale wanaopendelea kukutana mitandaoni. Hivi hawajui tu, sio kila date inaishia kuvuana, mnaweza kubaki marafiki tu, kama hisia zinawamaliza basi kata mawasiliano, lakini sio kumkimbia mtu.
Kilicho mshitua na kumfanya akose hamu ya Maongezi ni ile Hali ya kutokuwa na uhalisia katika muonekano wake mbali na alikuwa nao huko waliko kuwa wanawasiliana,. Hata mwanamke ana sehem yake ya kulaumiwa licha ya kuwa huyu mdau nae Kuna kaweak spot anakoKamsumbua Dada wa watu hafu kaja kumnanga huku eti mubaya yeye mzuri, gentleman huwa hafanyi huo ujinga aisee
Ha ha ha sebule ikiwa nzuri hata chumbani panaweza kuwa pazuriSio chura tena?
Yes,i always do that!Lecture yangu ya kwanza,nakumbuka dr Othman aliweka maji kwenye glass,ikajaa!Kisha akamwaga maji nusu chini,kisha akaweka swali!Nalo lilikuwa hivi÷Sio tulipoishia.
Tunasoma kitamu mpaka palipoandikwa mwisho.
Na ndio maana kuna baadhi ya vitamu, mwishoni **** references.
Na vingine vina chapter na vingine havina.
Fikiri nje ya box...!!!
Usiwe pessimistic,sijui hata ambacho hujaelewa ni nini!Kwahiyo kama kuna wakati alikuwa hana make up,mimi ningejuaje?Mtu tunachat insta,sasa hapo akiwa hana make up au anayo mi najuaje?DaaahWewe umesema ulichat nae kwa muda.
Ina maana kwa muda wote huo alikuwa na make up 24/7.
Na siku mkuwa in trapped mje kutuambia pia
😂😂😂😂Utajua hapohapo tukikutana.
Kama mie TRA au Majembe
VemaNdio maana nakuuliza kabisa.
Ukikataa si basi, kwani lazima.
Kila mtu atulize makalio kwao
LolHa ha ha sebule ikiwa nzuri hata chumbani panaweza kuwa pazuri
Ndio na mpaka unaona mwanaume anaanza kutafuta mwanamke mtandaoi, inabidi aangaliwe kwa jicho la pili.Ni kutokujielewa tu hyo tabia aisee unataka sura nzuri wewe ni mzuri kiasi gani hafu anakuja kuanzisha Uzi kabisa aisee toka lini filters ikabadili sura ya mtu zaidi ya rangi tu basi.
Mimi watu wa kukutana mitandaoni ndo sipendi kabisa hata humu JF tunajionea watu was aka information za mtu ili iweje labda, though wapo wanaojielewa wa urafiki unaodumu.
Ndo maana wengi wa mtandaoni ni domo zege wanaotaka u rahisi wa ngono
Hivi camera humbadikisha mtu sura na body structure kiaje aisee mi mbona sielewi, ukitaka wa Direct unaenda africasana unapata cheap hata buku tano tu.Kilicho mshitua na kumfanya akose hamu ya Maongezi ni ile Hali ya kutokuwa na uhalisia katika muonekano wake mbali na alikuwa nao huko waliko kuwa wanawasiliana,. Hata mwanamke ana sehem yake ya kulaumiwa licha ya kuwa huyu mdau nae Kuna kaweak spot anako
Ni kweli maisha ndio haya, panapohitaji ku-relax una relaxNa maisha yanasonga vilevile
Halafu wana tabia za kuigiliziana!...Wanaume wa humu huwa hawakui milele
ExactlyNi kutokujielewa tu hyo tabia aisee unataka sura nzuri wewe ni mzuri kiasi gani hafu anakuja kuanzisha Uzi kabisa aisee toka lini filters ikabadili sura ya mtu zaidi ya rangi tu basi.
Mimi watu wa kukutana mitandaoni ndo sipendi kabisa hata humu JF tunajionea watu was aka information za mtu ili iweje labda, though wapo wanaojielewa wa urafiki unaodumu.
Ndo maana wengi wa mtandaoni ni domo zege wanaotaka u rahisi wa ngono
Juzi tu nimeuliza swali hili kwenye jukwaa la sheria!Kwa comment za watu mpaka nimeogopa,sasa nikija na ID real si ndio shida tena!Na hiyo ndio tabia yao.
Kama kweli wao wanajiamini, waje na real Id zao.
Wanajificha nyuma ya kivuli cha Siasa.
Sitaki kuamini..!!!