Nimekata tamaa, nimepigika, nimeteswa, nimedharauliwa, nimeumizwa, sasa basi!

Hili pia ni somo. Lakini kuendesha rough gari yako ni hatari kuliko. Umenichekesha hapo kwenye nyimbo za misiba. Naomba niunge kwenye hiyo playlist yako
Ukiona unaziona hatari/athari za mienendo fulani angalau kwa watu wengine basi unapona, unless otherwise hapa ungeshabikia.
 
Sawa mkuu, ukianza kulewa anza na Safari ndogo[emoji39][emoji39] sigara anza na Malboro[emoji125][emoji125] Ila wanawake achana nao kabisa utaishia shimo la tewa[emoji16]
Why malboro???
 
Kabisa mimi nimechelewa kuolewa na kuzaa sababu ya wadogo zangu wasome wawe na maisha yao na mama kumjengea,kwa sasa sitoi hela yangu kizembe wananiitaga mpare nilivyo bahili
Inatakiwa namna hiyo maana unaweza kuonekana huna plans...
 
kumbe tupo wengi tulopitia machungu ya namna hii? bt sijapenda umaliziaj wa uzi wako.

niliwasaidia ndg hadi wakatimiza ndoto zao bt cha ajabu baada yakuharibikiwa mambo walikua wakwanza kunicheka na kunidhihaki kwa watu niliumia sana kama mwanadam na nikaamua kujitenga kivyangu na familia yangu nikiyaishi majungu mazito yasiyo kifani..

siku1 nipo na mzee1 rafiki angu nikamuuliza hivi duniani kuna furaha? akanambia ipo bt kwa wachache waloishinda vita ya kiroho either kwa kuwa wacha mungu/kwa madawa ya miti shamba coz mahusiano ya binadam huharibiwa katika ulimwengu wa roho yaani utu wako na thamani yako inaharibiwa mbele za watu kitu ambacho husababisha kudharauliwa, kuchekwa na kuonekana usie na thaman..

hakika sikumuelewa bt niliuliza tena je kuna uwezekano nami kua na furaha? akajibu inawezekana ikiwa utafanikiwa kuzidhibiti athari hizo, dah! nilivuta pumzi kubwa kisha nikamwomba msaada zaidi..

hakua na hiyana alinipa msaada zaidi hadi leo ninamahusiano mazuri na ndgu na wananiheshmu.
 
Nakuelewa sana hapa, dunia ni vita na hakuna iliyomwacha salama, we suffer but in different ways
 
Daaah asipokuelewa wewe hataweza kuelewa wengine mkuu, hongera sana.
 
Nakuelewa sana hapa, dunia ni vita na hakuna iliyomwacha salama, we suffer but in different ways
thamani yako ikishaporwa na walimwengu ktk ulimwengu wa roho utaonekana bure hata ufanye nini, na mleta mada anazo dalili zote zakuharibiwa thamani yake ktk ulimwengu wa roho, ni vile hajajua tu kisha akafanya utatuzi
 
I wanted to say exactly that, ila nilihisi nakosa maneno ya kueleweka, unavishwa roho za kuonewa kukataliwa kudhulumiwa kudharaulika kutwezwa, nk
Hawezi kuona mpaka itokee afundishwe ni nini maana ya mambo haya na yanafanyikaje, unaibiwaje haki zako kiroho, sababu kuna kitu huwa wanafanya, wanaondoa ufahamu wako wa kuyatambua hayo mambo.Yaani ufahamu unavurugwa,nafsi unakuwa kifungoni unaishi kadri ya how they remote you.
thamani yako ikishaporwa na walimwengu ktk ulimwengu wa roho utaonekana bure hata ufanye nini, na mleta mada anazo dalili zote zakuharibiwa thamani yake ktk ulimwengu wa roho, ni vile hajajua tu kisha akafanya utatuzi
 
S
So sad
Ila hapo kwenye pombe na uchafu mwingine ndo utazidi kuiona dunia chungu. Ila fresh coz hutaki ushauri
Soon RIP
 
na hiki ndo anachopitia ndugu yetu
 
Hapa ndipo nasemaga swala la Mungu ni myth.Haiwezekani binadamu wateseke afu eti tupo majaribuni na anatujua kabla hatujazaliwa.

Anasema tusimfate shetani.Lakini shetani ni kiumbe wake si amteketeze watu tule bata.

Pole bwana
 
Asipoelewa na hapa basi tena.

Sent from my Nokia 2 using Tapatalk
 
Acha hizo bana.
Kuendeleza wadogo 9 it's not a joke.

Sasa jiajiri, anza kidogo kidogo then ukiona unaenda vzr uachane na ajira.

Pombe na cigarette tulia kwanza, huko uendako mwisho utashindwa kusomesha wanao like your father.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo mwisho umemalizia vizuri kwamba sasa unakula bata la maana. Nafurahi umeligundua mapema. Binadamu hata umfanye nini haridhiki. Kumbuka self care is not selfish. Maisha ni haya haya tabu haziishi hadi unaingia kaburini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…