Nimekata tamaa ya kupata Mtoto

Jaribu kuchepuka na km mkeo hujamkuta bikira inawezekana kwenye ubinti wake aliwai kufanya abortion
 
eti eeh kwa sababu hata kabla sijakutana na huyu mwanamke. mimi nimekua nimtu nisiebadili wanawake (madem)
na nimekua nikitumia kinga
Kwahiyo hata kwa huyo mwanamke wako aliekuwa akitumia P2 bado unatumia kings(i)
 
Miaka 27 ndiyo 'umri unayoyoma tu?'
 
Isikate tamaa kama hitojali tuwasiliane
 
Pole sana kwanza ndugu, inabidi tujue uyo mtoto ambae mkeo alizaa akiwa secondary ana umri gani, maana mwanamke ndo anaamua muda gani azae, pia next time usikubali kuanza mechi moja bila, mungu atakusaidia.
 
Pole sana kwanza ndugu, inabidi tujue uyo mtoto ambae mkeo alizaa akiwa secondary ana umri gani, maana mwanamke ndo anaamua muda gani azae, pia next time usikubali kuanza mechi moja bila, mungu atakusaidia.
watu wanashindwa kuelewa apo huyo dogo anadhalilika sana na mwanamke lazima amwone anisi,cha msingi dogo achepuke hadi awape mabinti mimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…