Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu ni juice ya miwa Ile kitu ikikosewa kidogo ni hatariHapo mchawi anaweza kuwa Pilau (limechacha kisha likafufuliwa kwa kupikwa upya kwa madiko diko mengine ili kukata mchacho) au hiyo Juice ya miwa (maana usafi wake huwa ni mgumu).
Duh!Siku hizi kuna mbinu mamantilie wananunua wali na pilau lililobaki kwenye harusi, haijalishi lina siku tatu au nne. Wao ni kulichemsha tu na kulitia manukato.
Mkuu bwana Kalaga Baho Nongwa umekutana nalo
Mimi nimejionea mkuu. Wanabeba kwenye ndoo wanakuwa wanachota kidogo kidogo af wanapikia nyumbani.Duh!
Hatari sana ndio maana afya za watu zimedhoofika sana siku hiziMimi nimejionea mkuu. Wanabeba kwenye ndoo wanakuwa wanachota kidogo kidogo af wanapikia nyumbani.
Miwa hata ile ya shina inakuwaga na ka ukakasi fulani tumboniJibu ni juice ya miwa Ile kitu ikikosewa kidogo ni hatari
Ila pilau basi kesi ingekuwa kwa wengi
Dogo aliwahi kunywa hiyo juice hajawahi kurudia tena mi nilikunywa ya parachichi sijarudia tangu 2022Miwa hata ile ya shina inakuwaga na ka ukakasi fulani tumboni
Kuna hadi supu ya kwatoWatu tunakula supu ya ngozi mbagara pilpil nyingi na miogo alafu fureshiiiiii tu......
Kuna mmoja alikula wali nyama (mwingi), na matunda. Alikua na uhakika ile menu haifiki 5,000.Kwa hali ilivyo bado kuna wanaouza msosi buku darasalama?
Yaani hatari...Dogo aliwahi kunywa hiyo juice hajawahi kurudia tena mi nilikunywa ya parachichi sijarudia tangu 2022
Hapo sawa mkuu iiMkuranga
Kumbeeeee?Siku hizi kuna mbinu mamantilie wananunua wali na pilau lililobaki kwenye harusi, haijalishi lina siku tatu au nne. Wao ni kulichemsha tu na kulitia manukato.
Mkuu bwana Kalaga Baho Nongwa umekutana nalo
Mbagala hapa sokoni 🤣 alafu masokoni kote msosi wa kumwaga tu.. soko lenye chakula bei juu ni simu 2000 mawasiliano peke yake. Na wanauza 2500Tatizo wewe ni mchoyo ndio maana "unaendesha" peke Yako, toa location ya Hilo chimbo ugali mboga nne buku watu wapone
Buku tu.. unashushiwa kifusi uhangaike nacho..Ijue nguvu ya buku 😂😂😂
Uliona wapi?Mimi nimejionea mkuu. Wanabeba kwenye ndoo wanakuwa wanachota kidogo kidogo af wanapikia nyumbani.
Dah pole Sana rafikiHali hii leo mbona kazi ipo!
Katika pitapita zangu maeneo flani flani hiv nikasikia sauti kutoka katika kipaza ikinadisha "pilau buku, pilau nyama buku... njoo ujipatie". Nikaona yesss, dunia ni yetu sote.
Nikajikoki pale ndizi ya mia mbili na juisi ya muwa. Nikaketi taratiibu nijipimie. Wallahi punde baada ya kujishindilia pilau la nazi nikasikia "prrr prrrr prrr" tumbo linaunguruma na maumivu kias.
Nikajaa kujishtukia niko mlangoni mwa choo cha msikiti mana hata nauli iliishia kwemye choo cha kulipia. Nikajimaliza pale vya kutoshana nguvu ikatoweka, nikaomba msaada wa pikipiki ya msikiti nikapelekwa hospitali. Hapa nilipo nina drips ya pili na nishamaliza elfu 32 kwa matibabu haya yanayoendelea
Dua zenu wazee