Mambo ya kusoma na kutosoma ni nadharia Ila ukiwa smart na Una sense of who you are , unaweza kushindwa kulaza hata buku 20 kwa siku.
Vijana mnatishana Sana kiukweli wakati nipo Bukoba niliambiwa maisha ya DSM magumu Sana haya maneno niliambiwa na kaka zangu Ila to be honest ukiwa smart DSM kufanikiwa 90%
Pia ukitaka utoboe maisha na uishi bila stress kuwa na kitu kinaitwa "seed perspective"
Chochote ulichonacho kitazame kwa mfumo wa mbegu iwe, pesa ,elimu, nguvu , akili n.k
So ukiwa na mbegu tayari unaanza kutafuta mahali pakwenda kuipanda mbegu yako.
Ikiwa Una nguvu angalia sehemu ya kuiwekeza hiyo mbegu the same ukiwa na akili au Elimu na pesa.
Elimu imekunyima mavuno Ila imekupa mbegu just use it .
Then hawa watu ambao wapo Kari u yako jaribu kuwafanya kuwa mabalozi wako wa kukusemea .
Kukosa hela inaweza kuwa kawaida Ila kukosa mchongo wowote hii maana yake hauna watu.