Nimekupa kila kitu, na bado umeniacha" Malalamiko ya madada wengi

Nimekupa kila kitu, na bado umeniacha" Malalamiko ya madada wengi

Tofauti na ngono, mwanamke hawawezi kukupa kingine. Huu ndiyo uhalisia
Maisha ni zaidi ya ngono, unanikatikia kiuno halafu unasema umenipa vyote?
Ukinunua hata umeme wa 5,000 unasema umenikopesha na unataka hela yako.
Huwa mnasema maisha ni zaidi ya ngono ila wasipokata hivyo viuno mnalalamika kwamba wanawake wa siku hizi siyo wabunifu, chagueni moja mnataka viuno au mnataka kusaidiwa majukumu yenu ya kutafuta pesa na kuhudumia familia, na je ninyi pia mkoa tayari kuwasaidia wanawake majukumu yao ya nyumbani
 
Huwa mnasema maisha ni zaidi ya ngono ila wasipokata hivyo viuno mnalalamika kwamba wanawake wa siku hizi siyo wabunifu, chagueni moja mnataka viuno au mnataka kusaidiwa majukumu yenu ya kutafuta pesa na kuhudumia familia, na je ninyi pia mkoa tayari kuwasaidia wanawake majukumu yao ya nyumbani
du!
 
Kuna kumpa kila kitu na kumpa kitu.

Kumpa mwaume kila kitu sio garantee ya kupata mapenzi/attention ya mwanaume mfano kuna mabinti wanajitoa mpaka kujidharirisha maumbile yao lakini bado wanaachwa.

Ila kumpa kitu inaweza kumfanya mwanaume akafikiria future/maisha na huyo binti sio lazima ikawa material au upendo lakini kitu ni ile dhamani aliyonayo mwanamke mpaka mtu unafikiria nikiwa naye huyu ata maisha yangu yatakua tofauti na ndio inaleta mahusiano au familia bora
 
Kuna kumpa kila kitu na kumpa kitu.

Kumpa mwaume kila kitu sio garantee ya kupata mapenzi/attention ya mwanaume mfano kuna mabinti wanajitoa mpaka kujidharirisha maumbile yao lakini bado wanaachwa.

Ila kumpa kitu inaweza kumfanya mwanaume akafikiria future/maisha na huyo binti sio lazima ikawa material au upendo lakini kitu ni ile dhamani aliyonayo mwanamke mpaka mtu unafikiria nikiwa naye huyu ata maisha yangu yatakua tofauti na ndio inaleta mahusiano au familia bora
Ila sidhani kama wanaume wote mnawaza ulichoandika
 
Huwa mnasema maisha ni zaidi ya ngono ila wasipokata hivyo viuno mnalalamika kwamba wanawake wa siku hizi siyo wabunifu, chagueni moja mnataka viuno au mnataka kusaidiwa majukumu yenu ya kutafuta pesa na kuhudumia familia, na je ninyi pia mkoa tayari kuwasaidia wanawake majukumu yao ya nyumbani
Mwanaume ndiyo anaoa. Kukata viuno au kusaidia majukumu siyo kigezo cha mwanamke kuolewa.
Heshima, kujitunza, kujua majukumu yake ya nyumbani na kumsikiliza mumewe ndizo nguzo za mwanamke kuolewa.
Shida ya wanawake ile 50/50 inawaharibu. Ujuaji mwingi, kutoa siri na kushindana
 
Mwanaume ndiyo anaoa. Kukata viuno au kusaidia majukumu siyo kigezo cha mwanamke kuolewa.
Heshima, kujitunza, kujua majukumu yake ya nyumbani na kumsikiliza mumewe ndizo nguzo za mwanamke kuolewa.
Shida ya wanawake ile 50/50 inawaharibu. Ujuaji mwingi, kutoa siri na kushindana
 
Nikipita rafu road hapo akijisifu amenipa kila kitu nitakubaliana naye 😊
 
Kwanini unafikiria haiko ivo

Mwanaume ndiyo anaoa. Kukata viuno au kusaidia majukumu siyo kigezo cha mwanamke kuolewa.
Heshima, kujitunza, kujua majukumu yake ya nyumbani na kumsikiliza mumewe ndizo nguzo za mwanamke kuolewa.
Shida ya wanawake ile 50/50 inawaharibu. Ujuaji mwingi, kutoa siri na kushindana
 
Kwanza uyo Eliza ni aina ya wadada wanaingia kwenye mahusiano wakiwa na standards zao ambazo mara nyingi zinaondoa msingi bora wa mahusiano ie Sasa hapo yeye anawaza kununua gari bila kuchangia ata wazo tu iyo gari itapatikanaje

Uyo naye jamaa bado Yuko kwenye mfumo wa ujima ie mwanamke sio heshima, kujitunza au kujua majukum pekee lakini anawezaje kuongeza dhamani kwenye mahusiano/ndoa ndio maana Kama ni heshima au kujitunza mbona hata Malaya/walevi wanaolewa?

*Mimi nadhani mahusiano bora ni Yale ambayo kila mmoja anajukumu la kuongeza dhamani kwenye maisha ya mwenzake labda kwa kuwa na malengo au ndoto zinazofanana ivyo kila mmoja ana wajibu wa kuhakikisha zinatimia
 
Kwanza uyo Eliza ni aina ya wadada wanaingia kwenye mahusiano wakiwa na standards zao ambazo mara nyingi zinaondoa msingi bora wa mahusiano ie Sasa hapo yeye anawaza kununua gari bila kuchangia ata wazo tu iyo gari itapatikanaje

Uyo naye jamaa bado Yuko kwenye mfumo wa ujima ie mwanamke sio heshima, kujitunza au kujua majukum pekee lakini anawezaje kuongeza dhamani kwenye mahusiano/ndoa ndio maana Kama ni heshima au kujitunza mbona hata Malaya/walevi wanaolewa?

*Mimi nadhani mahusiano bora ni Yale ambayo kila mmoja anajukumu la kuongeza dhamani kwenye maisha ya mwenzake labda kwa kuwa na malengo au ndoto zinazofanana ivyo kila mmoja ana wajibu wa kuhakikisha zinatimia
Jamaan, usimshambulie Eliza namba hiyo
 
Back
Top Bottom