Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #61
Mama yako ni mwanamkeUkiondoa pussy, sioni kingine mwanamke anachoweza kuniofa mimi
Tangu amekuzaa ame Ku offer nini mwenzetu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yako ni mwanamkeUkiondoa pussy, sioni kingine mwanamke anachoweza kuniofa mimi
Ivi wewe ndio ulikuwa unaitwaga mahondaw zamani au??Hayanaga formula dadalakeee!!
Zipo kwenye mboo yako,🚶🚶🚶mwanamke akikupa UCHI wake huwa anaona amekupa kila kitu.......hivi nyinyi wanawake yaani mama zetu na dada zetu akili zenu huwa zipo kwenye nyuchi zenu?
NdioWe muda wowote unatoa au?!
AmelipaHuwa najiuliza mpaka unasema hvyo umenipa nin nikifikiria hata zawad ya bahat mbaya hajawah nipa xa najiuliza yate yapi aliyonipa labda stress tu ndo asemee sio kingne
Weka picha tuoneNdio
Picha ya niniWeka picha tuone
ukisikia hivyo ujue alitoa kila kitu hadi behind the scene" Nimekupa kila kitu na bado umeniacha?" Alisikika dada mmoja akilalamika Kwa mashemeji
JE wanaume?! Sentensi hii ukiiskia, huyu aliepewa kila kitu unamwelewa kweli?
Kwani wanaume hii sentensi ina maana gani ukiskia mwanamke analalamika hivi?
NYUZI ZANGU ZINGINE
1. Hii ndiyo sababu ya nguvu za kiume kupungua au kukosekana Kwa wanaume wengi
2. "Nimekupa kila kitu, na bado umeniacha" Malalamiko ya madada wengi
3. Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae
4. Je, mapenzi ni mabaya?
5. Mshahara wa mpenzi wangu NI TSH 200,000 Kwa mwezi, nikae au nimkimbie?
6. Alichonifanya mume wangu baada kurudi toka safarini
7. What you see is what you get!
8. Kwa wanaume tu: Fikiria umempenda mrembo, halafu yeye anakuita kaka, unafanyaje?
9. Mpenzi wangu anajikojolea kitandani nifanyaje?
10. Happy Birthday Money Penny ~ March 8th Baby!
11. Nimepata mchumba kanisani kwenye Morning and Evening Glory, Novemba 2023 naolewa
12. Shule imemshinda anatafuta 'sponsor'!
13. ''I love you Baby, kissess mwaaah'' ndio maneno nakutana nayo kila asubuhi, wewe je?
14. Money Penny Mpenzi, naomba namba yako ya simu
15. Story: Money Penny ni nani lakini?!
Jesus Christ 😱ukisikia hivyo ujue alitoa kila kitu hadi behind the scene
Maneno ulioandikaPicha ya nini
Hii ndio point...mwanamke ni wa ngono tuu hakupi ata kitu kingine.Tofauti na ngono, mwanamke hawawezi kukupa kingine. Huu ndiyo uhalisia
Maisha ni zaidi ya ngono, unanikatikia kiuno halafu unasema umenipa vyote?
Ukinunua hata umeme wa 5,000 unasema umenikopesha na unataka hela yako.
😒😒😒Maneno ulioandika
Samahani, ivi Una mama?!Hii ndio point...mwanamke ni wa ngono tuu hakupi ata kitu kingine.
Mfano rahisi tuu muombe adhamini pambano la minyamduano uone anavyoruka mile 60. Hawa ni kugegeda tuu na kutupa kule🤣🤣🤣🤣
Andika vitu vya point basi sio kujaza jukwaa
Samahani, ivi Una mama?!
Mama yako ni mwanamke au mwanaume?!
Kwahiyo mamako NI WA ngono Tu au??
hizo sababu akizitumia kama defence name ntamrudishia hizo hzo maana kama ni muda name wangu umepotea mwingiAmelipa
1. Muda wake
2. Upendo wake kwako
3. Amekataa wanaume wengine amekuchagua wewe, huenda wasela wengine walikuwa WA maana kuliko wewe
Embu screen shot ulichoandika afu nmtumie mamako au babako uone anasemajeEboo! Sasa mama yangu sii alikuwa wa ngono tuu kwa baba yangu au nimekosea