Ah sidhani kama huko mbinguni wanapokea screenshot. Au wee una direct line ya mbinguni unisaidieEmbu screen shot ulichoandika afu nmtumie mamako au babako uone anasemaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah sidhani kama huko mbinguni wanapokea screenshot. Au wee una direct line ya mbinguni unisaidieEmbu screen shot ulichoandika afu nmtumie mamako au babako uone anasemaje
Si ungemuacha basi kama uliona WA malengo wapohizo sababu akizitumia kama defence name ntamrudishia hizo hzo maana kama ni muda name wangu umepotea mwingi
Kama upendo name nilimpenda sana kazingua
Kuhusu wasichana/wanawake wenda kuna waliokuwa na malengo hata zaidi ya aliyokuwa nayo yeye ni ngoma draw boss
Hata mama mdogo au mkubwa watumieAh sidhani kama huko mbinguni wanapokea screenshot. Au wee una direct line ya mbinguni unisaidie
Sawa nitakupa mrejesho kesho saa saba mchana nicheki pmHata mama mdogo au mkubwa watumie
Thanks God you are back sis Maisha lazima yaendeleee!Nilienda vacation for my emotional damage
Now am back
Stronger and better
nimejibu kulingana na ulivyouliza mkuu sema tu sijawah kuwa na mtu wa kunambia hvyo ningemthamini sana bas tu ndo hvyo tena 😀 [emoji4]Si ungemuacha basi kama uliona WA malengo wapo
Kwanini unemcheleweshea muda wake
😅😅😅😅 dingi alikuwa anajipigia tu eehEboo! Sasa mama yangu sii alikuwa wa ngono tuu kwa baba yangu au nimekosea
Afanyaje tena kama sio kujipigia tuu...maana raha ya dunia kugegedana😅😅😅😅 dingi alikuwa anajipigia tu eeh
Ukitaka kuona hawa watu. Siku akiumwa utasikia bebi naumwa, jifanye umeuchuna. Malalamiko mengi. Hapo unatakiwa umhudumie, umpe hela akanunue dawa.Hii ndio point...mwanamke ni wa ngono tuu hakupi ata kitu kingine.
Mfano rahisi tuu muombe adhamini pambano la minyamduano uone anavyoruka mile 60. Hawa ni kugegeda tuu na kutupa kule🤣🤣🤣🤣
Hakika.mwanamke akikupa UCHI wake huwa anaona amekupa kila kitu.......hivi nyinyi wanawake yaani mama zetu na dada zetu akili zenu huwa zipo kwenye nyuchi zenu?
Soma tena comment yako ya mwanzo mkuu, yani mnataka mwanamke afanye majukumu yake ya nyumbani ila bado mnasema hana kingine cha kuoffer zaidi ya sex, mnataka tena aanze kusaidia na majukumu yenu ya kulipia bills za nyumbani is that fairMwanaume ndiyo anaoa. Kukata viuno au kusaidia majukumu siyo kigezo cha mwanamke kuolewa.
Heshima, kujitunza, kujua majukumu yake ya nyumbani na kumsikiliza mumewe ndizo nguzo za mwanamke kuolewa.
Shida ya wanawake ile 50/50 inawaharibu. Ujuaji mwingi, kutoa siri na kushindana
Huyo mwanamke anavyokuja anakuwa hakupikii hakufanyii usafi kwako auUkitaka kuona hawa watu. Siku akiumwa utasikia bebi naumwa, jifanye umeuchuna. Malalamiko mengi. Hapo unatakiwa umhudumie, umpe hela akanunue dawa.
Siku umeugua wewe utasikia pole ya mikono mitupu.
Akija kukuona anakuja mikono mitupu, akifa mwagize dukani akuletee hata maji. Atakuomba hela.
tofauti na ngono, mwanamke hana cha kukupa
Hivi kwani ukiacha hela mwanaume ana kipi kingine cha kumpa mwanamkeHakika.
Zawadi kubwa kwa mwanamke ni ngono.
Ukishamaliza kufanya usafi. Unaomba hela ya nauli na mahitaji mengine urudi kwenu.Huyo mwanamke anavyokuja anakuwa hakupikii hakufanyii usafi kwako au
Acha kujifanya hujui ndugu? Hapo ulipo kila kitu unamtegemea mwanaume kula yako, kuvaa, matibabu, malazi n.kHivi kwani ukiacha hela mwanaume ana kipi kingine cha kumpa mwanamke
Ukishamaliza kufanya usafi. Unaomba hela ya nauli na mahitaji mengine urudi kwenu.
Hivyo vyote vimekuwa vimeshalipiwa. Hapo tunakuwa tumeshalipia, ni sawa na kumpa hela mtu akufanyie usafi.
Unaweza kufanya hivyo vyote bila ya kuomba hela?
Hayupo mwanamke anayempenda mwanaume ambaye hana hela
Usijifie kwasababu humpi hela. Kuna jamaa anahudumia ndiyo maana anakufanyia bure.nina demu simpi chochote na nikimuita geto lazima atimbe hanidai hela wala nn
Usijifie kwasababu humpi hela. Kuna jamaa anahudumia ndiyo maana anakufanyia bure.