Wakomage kuangalia kupekua simu za watu...unakuta mtu anajijua roho mkononi bado unaangalia msg jmn km una roho ndogo usipekue simu za wenzi wenu mana mtakufa mdomo wazi kwa mshangaoIshi maisha yako kwenye simu yangu mwenzio unatafuta nini mjinga wewe.
Kilichopo akilini mwake unakijua????
Kuendelea naye ni kujitafutia maradhi yasiyo pona utaumia mpaka mwisho wa maisha yako au hata kukusababishia matatizo makubwa.Kutendwa ni jambo kubwa katika maisha ya mahusiano.Kwanini amuache? Avumilie tu kwani hujui ndoa ni uvumilivu.
Nimeacha kumtetea huyu jamaa baada ya kugundua na yeye ni malaya tu. Acha mkewe agawe papuchi kwa wengine. Watajua wenyewe!.Kuendelea naye ni kujitafutia maradhi yasiyo pona utaumia mpaka mwisho wa maisha yako au hata kukusababishia matatizo makubwa.Kutendwa ni jambo kubwa katika maisha ya mahusiano.
Ndo manake. Mnapoteza muda wenu kumshauri.Muosha huoshwa sio
Hahaha sawaNdo manake. Mnapoteza muda wenu kumshauri.
Very simple mwonyeshe hiyo text mkeo piga number hiyo aweke loudspeaker kila kitu kitakuwa wazi hapani ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,
Labda wife wako kaanzisha biashara ya "Kitimoto" ndo maana jamaa kafupisha "K"ni ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,
Nyoosha maelezo....zaidi ya laki mbili ndo nn!!Andaa zaidi ya laki mbili mkuu kwa kila mtoto
Hiyo messagr imekosewani ujumbe wa message ukisema
"ivi iyo k umeweka nn mbona haishi utamu"?
nimenukuu,
Na jamaa huko nje halipii mrahabaMke wako ameanza kupeleka mchanga nje ili akachenjue thahabu. Fanya mpango ununue Smelter ili mambo yaishe.
kirinda nae si K?!shukuru Mungu hawajatatua marinda, anza kukaba mpaka kivuli.