Nimekuta vitu kama dawa za kishirikina jikoni kwa mchepuko wangu

Hivi huyu mwanamke bado mshamba hivyo? Mambwata ya kutia kwa chakula mbna zama zake zimepita kitambo sana?

Hahahah nwei mjanja kakutan na mjanja mwenzie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
amu aunt njoo huku uone mambo ya mswano.
Ya siku hizi mnafanyaje tafadhali bibie maana
 
Yani mwanaume anapogombaniwa na wanawake kwa madawa, madhara yake kwenye maisha ya Kawaida huwa ni makubwa sana, ikiwa ni pamoja na kuandamwa na magonjwa ya ajabuajabu na hayo mae kifo baada ya muda.
Wengi wao huwq vichaa, au hata magonjwa ya akili mengine.
 
Kuna demu Kila siku ananibembeleza alete chakula namwambia subiri utanipikia mda ukifika,
Hawa viumbe waoneni hivihiv lakini Kila anapokuwa na wewe anajua una mwingine kwahiyo yeye anawaza kupindua meza tu
 
TuliA ulogwe boya wewe

Siku hizi hamtabiriki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mi ndo mana sitakagi mazoea na mchepuko week 3 max nikishalala nae mara 3 basiiii.


Mbona ya kutema big G kwa karanga kwa punje tatu za karanga ni utoto.Mwanamke sina malengo nae ya nini nigandane nae

Labda ni dawa zake binafsi za ku balance hormone au kufanya k iwe mnato.Mjini hapa makungwi wengi sana
 
Labda nazo nikwaajili ya Kidume mwingine..maana hapa Mjini bwasheee
 
Hebu kuwa mpole kwani bas, maan nikifukunyua mengi nitaharibu ladha, kiruuuuuuuuh.

Mambwata hoyeeeeeeeeeeeeeh.
Sasa mie si ndo nataka jua niwe na alarm kichwani au nipe nondo PM
 

Aina ya wanawake una date nao ndio hao[emoji848]!!!
Always upo hapa kutupa namna ya kutegua mitego ya wanawake na experience zako enhe tupe mpango mpya wa kujinasua hapa pia baby[emoji8][emoji8]
Nakwambia huwezi kumzidi mwanamke na bado hujakutana na mambo wewe[emoji28][emoji28]
Hujamaliza wanawake wote hao wachache unao wapatia huko wasikudanganye eti unatujua vizuri
Hakuna mwanaume amefanikiwa katika hilo
My take😀awa zimekuzidi mpaka huna cha kumfanya na ukizubaa utakuwa ndondocha endelea....
 
Kwaio unamshaurije, ajikatae au aendelee kuitafuna mbususu?
 

Anatoaga shit tambo tu nyuma ya keybord
Hajatengenezwa huyu dudu haisimami popote zaidi ya Kwa muhusika [emoji28][emoji28][emoji28]atajua hajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…