Nimekuta vitu kama dawa za kishirikina jikoni kwa mchepuko wangu

🤣🤣🤣yajayo yanafurahisha zaidi soon utakuwa ndondocha endelea kubaki hapo
 
Kwa michepuko mtalishwa hadi mavi


Mkiambiwa mtulie na wake zenu mnadai mwanaume atakuwaje na mwanamke mmoja

Haya sasa


Pole sana


Shukuru umeona!!!
 
Kwahiyo hata msosi wangu hauli we msukuma?
 
Dah [emoji23][emoji23][emoji23] nyie viumbe nyie.
 

Huo uchafu tule tu kama sidhuriki hamna namna ntafanyaje mie utamu wenyewe ndio huo. Cha nyumbani kimezoeleka hakuna jipya, lazima tusitue kdg kdg nje.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kazi kwelikweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…