Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mmetupiga mnoHebu jibu basi...
Maana naona hubanduki hapa leo..[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmetupiga mnoHebu jibu basi...
Maana naona hubanduki hapa leo..[emoji23]
Mkuu acha uongo inamaana wewe ni tajiri saaana uonge kiasi hicho? Anyway kila mtu jf anapesa sana.Kuna dem nilikuwa nae niweke rough tu hapa matumizi yake yalikuwaje
Kodi 350k
Mafuta gari 50(week)
Matumizi(chakula maana alikuwa hapend kupika 100k weeks)
Dinner za pamoja kwa wek zaid ya 200k
Nywele karibia 60k kila week
Kucha 15 kweek
Matimizi binafsi 50k week
Na mengine mengi
Halaf mpuuzi akanicheat na ex wake tena pale pale nilipompangia akafumwa na camera bila kujua
Nikamtimua na bags zake pekee maana navyompa havitoshi aende ex wake ampe
Kumuuliza why ananicheat et anadai amechoka kulala mwenyewe hivyo niache kulala kwangu na mke wangu nikalale nae wakat naanza nae anajua me ni mme wa mtu
Jana nimekutana nae Mliman city kachoka mpk anatia huruma
Muwe mna value basi mtu akiamua kuwekeza kwenu hata kama ni mme wa mtu eti
Nb: Sahiz napigana kusepa siwekezi kwa mtu mmoja tena [emoji119]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Awapi uongo tu huo tena usikute hata anaazima sim kwaajili ya kuchat jf, matajili huwa hawajianiki.Sasa kama zipo kwanini asitoe mzee?! Kuna watu wengine hiyo 350k ni kama punje kwenye gunia la mchele hey
Acha tubaki kushangaa tu hakuna namna mpenzi
Inabidi nianze kumwangalia shemeji yako kwa jicho pembuzi.Kabisa Dear... Maana yanashangaza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmetupiga mno
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nawewe umeliona hilo?
Kwamba kila wiki nywele ya gharama imuhusu Dada?[emoji23]Inabidi nianze kumwangalia shemeji yako kwa jicho pembuzi.
Nimetulizana sana, afu jioni nikutume basi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nenda taratibu Rafiki. Angalia unapopita..
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Nimetulizana sana, afu jioni nikutume basi?
Hahhaha auntie utamkimbizaInabidi nianze kumwangalia shemeji yako kwa jicho pembuzi.
Kutumia zaidi ya milioni kwa mwezi kwa mchepuko na hapo familia mambo yanaenda si mchezoOhoo unajuaga wote ni kajamba nani?
Kweli kabisaMkuu humu ndani kuna watu wazito sana, usione maandishi ya hapa ukadharau watu.
Daah mkuu unashangaa hili?Kutumia zaidi ya milioni kwa mwezi kwa mchepuko na hapo familia mambo yanaenda si mchezo
Dah aiseDaah mkuu unashangaa hili?
Kuna watu wanajengea michepuko nyumba ya gharama mkuu
Kweli mkuuDah aise
Aaah akimbie tu kwakweli.Hahhaha auntie utamkimbiza
Ndio ndio.Kwamba kila wiki nywele ya gharama imuhusu Dada?[emoji23]