Nimekutana na rafiki yangu mwarabu tuliesoma shule ya Msingi, Nasikitika kuona wageni wanavyotajirika huku wenyeji tumeridhika na vimafanikio vidogo

𝐰𝐞𝐰 𝐮𝐭𝐚𝐤𝐮𝐚 𝐦𝐭𝐨𝐭𝐨 𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐡𝐮𝐚, 𝐤𝐢𝐝𝐮𝐦𝐮 𝐧𝐚 𝐦𝐟𝐚𝐠𝐢𝐨 𝐡𝐚𝐰𝐞𝐳𝐢 𝐬𝐨𝐦𝐚 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐡𝐢𝐧𝐝𝐢 𝐨𝐯𝐲𝐨 𝐨𝐯𝐲𝐨
 
Watoto wa kihindi sio rahisi asome dumu fagio then Mimi nimesoma nao wahindi wamejengewa spirit katika kufanya ibada zao na kutoa Sana

So katika kujifunza nimejifunza MAFANIKIO yanaanzia ndani yako na unabidi kuwa cleanest lifestyle kiufupi wahindi wametupiga gap kubwa sana
 
𝐓𝐨𝐚 𝐞𝐧𝐝𝐚𝐩𝐨 𝐦𝐢𝐫𝐚𝐝𝐢 𝐲𝐚𝐤𝐨 𝐢𝐦𝐞𝐤𝐨𝐦𝐚𝐚, 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐮𝐧𝐚 𝐤𝐢𝐩𝐚𝐭𝐨 𝐜𝐡𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐮𝐚 𝐬𝐮𝐚 𝐓𝐇𝐄 𝐌𝐎𝐑𝐄 𝐘𝐎𝐔 𝐆𝐈𝐕𝐄 𝐓𝐇𝐄 𝐌𝐎𝐑𝐄 𝐘𝐎𝐔 𝐋𝐎𝐒𝐄
 


Kanuni za Asili ndo wahindi na wazungu hutumia that is way they are on top
Unapotoa hata Kama kidogo ukitoa kwa menye uhitaji lazima uongeze mara dufu.

Wahindi huwa wanatoa kwa Masikini ombaomba Hawa jamaa katika Ulimwengu wa roho wapo vizuri Sana.
 
Umenikumbusha, kipindi namaliza chuo, tulikuwa na kijana wa kihindi mmoja kwenye darasa letu la civil engineering, wakati sie(wa Swahili) tupo bize kutuma CV huku na huko, kutafuta ajira,yule jamaa yeye alikuwa anazingumza na kujenga connection na uongozi wa chuo wampe tender za furniture, baada ya miaka 10,jamaa anamiliki kampuni, na amefanya tender nyingi za furniture pale chuoni,jamaa ni tajiri, sie tupo kwenye viajira uchwala na tunajivunia vimilioni na ka IST kamepaki nje, tukitembea tunjiona kama Eron musk, wakati kama kuna cha maana tumefanya hapa duniani, kwa watu wengine, ni kuajiri house girl tu, kwa 50K!
Ila kujijairi bro sio mchezo, mi nawajua watu, bila kampuni zao, kuwapunguza na kuwalipa mamilioni ya pesa, kuanzia 80+milioni, wasingefungua makampuni,tangu wamemaliza vyuo, wakaajiliwa, imewwchukua miaka zaidi ya 20 kufungua kampuni.
Asians, wakinga,wana utaratibu wa kusaidiana katika kutafuta kianzio cha biashara
 
Kuna vitu vingi sisi tumeamua tuache nature intake place, mfano sisi tunaoana bila mpangilio wa kuangalia feature, pia tunachelewa kuoa hivyo tunaoana huku kila mtu akiwa na malengo yake na Kila familia ya muoaji na muolewaji inamalengo yake juu ya wanandoa, unakuta mzazi anamshawishi bintiye akudhuru au akuibie Ili wafanye chakwao
 
Umenyooshaaa mkuu...

Ubinafsi,ubinafsiii umetujaa ..

Mtu Kwenye familia anapesa lkn kusupport hata wadogo zake mtaji n shidaa..

Anatakaa aonekanee kwenyee ukoo yy pekee ndio tajirii[emoji23][emoji23][emoji23]

Mnaishi kwenye nadharia sana watu wa JF. Kuna watu wengi sana wamejinyima sana kuleta Mitaji, matrekta na hata hela za kujenga nyumba kwa wadogo, kaka na dada na ndugu zao. Hao wanaoletewa hula hela, huua matrekta na Kula hela za ujenzi na mtoaji Yuko ulaya au mkoa mwingine na nyumbani. Shida kubwa ipo kwenye mindset yetu na Sio swala sana la kusaidiana Kama familia. Vijana wengi waliojipatia hupenda kuvuta ndugu zao lakini wivu na husuda na uzembe huleta umaskini sana. Kiasi inabaki hata chumvi ndani ya familia itabidi atoe mtu Yuko mbali Wakati kila mara anajitahdi Kuwainua ndugu zake ili wakitegemee wao hula na kuendelea kutiana umaskini.
 
Na waarabu pure Hawa waarabu machotara hawaoi kwao
 
Sema wahindi na uaminifu unawasaidia wabongo ujanja ujanja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…