proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
๐๐ฐ๐๐ฅ๐ขMtoa mada kashalowa baada ya kumuona classmate muarabu Katoboa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐ฐ๐๐ฅ๐ขMtoa mada kashalowa baada ya kumuona classmate muarabu Katoboa
๐ฉ๐๐ฌ๐ ๐ฌ๐ข๐จ ๐ซ๐๐ก๐ข๐ฌ๐ข ๐ค๐๐ฆ๐ ๐ฎ๐ง๐๐ฏ๐ฒ๐จ๐๐ข๐ค๐ข๐ซ๐ขPESA vitu vidogo tu haina ya kulalamika au kushangaa
PESA inahitaji nidhamu ukiipa heshima nayo inakupa heshima๐ฉ๐๐ฌ๐ ๐ฌ๐ข๐จ ๐ซ๐๐ก๐ข๐ฌ๐ข ๐ค๐๐ฆ๐ ๐ฎ๐ง๐๐ฏ๐ฒ๐จ๐๐ข๐ค๐ข๐ซ๐ข
Watoto wa kihindi sio rahisi asome dumu fagio then Mimi nimesoma nao wahindi wamejengewa spirit katika kufanya ibada zao na kutoa Sana๐ฐ๐๐ฐ ๐ฎ๐ญ๐๐ค๐ฎ๐ ๐ฆ๐ญ๐จ๐ญ๐จ ๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ก๐ฎ๐, ๐ค๐ข๐๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ง๐ ๐ฆ๐๐๐ ๐ข๐จ ๐ก๐๐ฐ๐๐ณ๐ข ๐ฌ๐จ๐ฆ๐ ๐ง๐ ๐ฐ๐๐ก๐ข๐ง๐๐ข ๐จ๐ฏ๐ฒ๐จ ๐จ๐ฏ๐ฒ๐จ
๐๐จ๐ ๐๐ง๐๐๐ฉ๐จ ๐ฆ๐ข๐ซ๐๐๐ข ๐ฒ๐๐ค๐จ ๐ข๐ฆ๐๐ค๐จ๐ฆ๐๐, ๐ค๐๐ฆ๐ ๐ฎ๐ง๐ ๐ค๐ข๐ฉ๐๐ญ๐จ ๐๐ก๐ ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ฎ๐ ๐ฌ๐ฎ๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐Watoto wa kihindi sio rahisi asome dumu fagio then Mimi nimesoma nao wahindi wamejengewa spirit katika kufanya ibada zao na kutoa Sana
So katika kujifunza nimejifunza MAFANIKIO yanaanzia ndani yako na unabidi kuwa cleanest lifestyle kiufupi wahindi wametupiga gap kubwa sana
๐๐จ๐ ๐๐ง๐๐๐ฉ๐จ ๐ฆ๐ข๐ซ๐๐๐ข ๐ฒ๐๐ค๐จ ๐ข๐ฆ๐๐ค๐จ๐ฆ๐๐, ๐ค๐๐ฆ๐ ๐ฎ๐ง๐ ๐ค๐ข๐ฉ๐๐ญ๐จ ๐๐ก๐ ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ฎ๐ ๐ฌ๐ฎ๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐
Ubaguzi kama wa muislamu ndugu yake ni muislamu?Huo ubaguzi ndiyo cha kwanza kinawarudisha nyuma, hao mnaosema "waarabu na wahindi na wabongo".
Ni wageni nchi hii au ni vipi?
Kuna vitu vingi sisi tumeamua tuache nature intake place, mfano sisi tunaoana bila mpangilio wa kuangalia feature, pia tunachelewa kuoa hivyo tunaoana huku kila mtu akiwa na malengo yake na Kila familia ya muoaji na muolewaji inamalengo yake juu ya wanandoa, unakuta mzazi anamshawishi bintiye akudhuru au akuibie Ili wafanye chakwaoWatoto wa kihindi sio rahisi asome dumu fagio then Mimi nimesoma nao wahindi wamejengewa spirit katika kufanya ibada zao na kutoa Sana
So katika kujifunza nimejifunza MAFANIKIO yanaanzia ndani yako na unabidi kuwa cleanest lifestyle kiufupi wahindi wametupiga gap kubwa sana
Umenyooshaaa mkuu...
Ubinafsi,ubinafsiii umetujaa ..
Mtu Kwenye familia anapesa lkn kusupport hata wadogo zake mtaji n shidaa..
Anatakaa aonekanee kwenyee ukoo yy pekee ndio tajirii[emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa Wifi yanguLabda mke wake utuambie.
Na waarabu pure Hawa waarabu machotara hawaoi kwaoAliekudanya nani mkuu, mimi hao watu nimeishi nao sana shuleni kwa miaka saba, Kinadharia kwa uraia ni wenzetu ila kwa uhalisia bado ni wageni.
wanaishi kwa tamaduni za kiarabu na kihindi na sio za kitanzania, huji kuona mhindi ama muarabu kavaa hata kitenge, ni wenzetu hao ?
wanaoleana wao kwa wao, Kwa waarabu hata uwe mpemba ama msomali wao hukuona bado mwafrika huwezi kupewa binti yao labda uwe na mtu mzito sana, kwa wahindi sahau kabisa, ni wenzetu hao ?
Shughuli za kijamii iwe misiba ama sherehe huwa wanashiriki zao, ni wenzetu hao ?
Sema wahindi na uaminifu unawasaidia wabongo ujanja ujanjaSisi wenyewe ndio tunawapa utajiri, jiulize wewe lini umefanya manunuzi makubwa Kwa mswahili mwenzio? Umempa deal mswahili mwenzio. Kwa idadi yetu tukisema hatununui vitu Kwa mhindi au mwarabu uone kama wataendelea kuwa matajiri. Jiulize wao wananunua nini Kwetu.
Ni ujinga wetu ndio ulivyo, mhindi akiingia kwenye org yenu atafanya juu chini kupereka biashara Kwa mhindi mwenzake. Wakati waswahili kazi kuwangiana tu.
Nasisitiza ni ujinga wetu ndio unawapa uwezo wa kumiliki uchumi.