Nimekutana na rafiki yangu mwarabu tuliesoma shule ya Msingi, Nasikitika kuona wageni wanavyotajirika huku wenyeji tumeridhika na vimafanikio vidogo

Tumia mfano huo huo kwa wabongo nje ya nchi
 
Tumia mfano huo huo kwa wabongo nje ya nchi
Itawachukua generation 4 au tano kufika huko labda kwa elimu na kufanya kazi zenye malipo makubwa lakini kwa biashara ni wachache sana

Huu sio mfano bali ni ukweli yaani wachache sana kufika mbali
Ni kupambana na kuweka akiba kubwa ili kuendeleza biashara idumu na ikuwe kwa miaka na miaka hata wajukuu waje kuikuta
 
wahindi waliopo hapa ukiwachukua na kwenda kuwadondosha india hawana hata pa kwenda. kama wanapo basi wamenunua tu siku hizi. hao walikuja karne nyingi sana kabla ya wangoni hawajaja. wangoni hawajaja zamani sana, miaka ya 1800 juzi tu hapa wakati wahindi karne za nyuma kabisa. katiba ya Tanzania inamtambua mtu kuwa mtanzania (hata kama angekuwa mzungu) kama alikuwepo kabla ya uhuru kutangazwa 1961, na wengine waliozaliwa hapo baadaye au walioupata utanzania kisheria.
 
Dah kwel man
 
Umleavyo mtoto ndo jinsi akuavyo,kuna makabira ya wafugaji,wakulima,wachongaji vinyago,wavuvi ,wafanya biashara nk

Sasa wewe umekulia katika jamii ya watu gani.
Hapa duniani mara nyingi mambo ni kucopy na kupasate
 
Bongo nchi yangu kwenye familia kila mtu anataka yeye awe ndio aonekane ana hela kuliko wengine huyu atamsupport mwenzake saa ngapi ndio kwanza anamtoa kafara kama sio kumloga😅
 
Mtoto ataiba pipi 😂🤣
 
Ndyo[emoji23][emoji23]
Mzazi anajiona kapatia kumbe ana jikaanga kwa mafuta yake mwenyewe 😄
Na hili la waarabu nimelishuhudia pia wanaishia f4 moja kwa moja kusimamia kituo cha mafuta
Ukitafakari unaona linawezekana maana kununua na kuuza mafuta tu kwan lazm uwe na masters 🥴
 
hapa kwetu ubaguzi wa rangi ni kawaida tena ukiwa mwarabu utanyanyasika sana
 
Kanuni za Asili ndo wahindi na wazungu hutumia that is way they are on top
Unapotoa hata Kama kidogo ukitoa kwa menye uhitaji lazima uongeze mara dufu.

Wahindi huwa wanatoa kwa Masikini ombaomba Hawa jamaa katika Ulimwengu wa roho wapo vizuri Sana.
Hawa jamaa ni kweli kwenye utoaji aisee
Kuna siku binafsi na wenzangu tulienda pale mburahati kituo cha kulea wasiojiweza
Aisee misaada mingi pale inatoka jamii ya wahindi yule dada wa pale alitueleza kuna mmoja jioni lazima apeleke misosi pale
 
Shout out to you, this is among the best comment in 2023 DR HAYA LAND 🙏💪💪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…