Wangoni waliopo hapa hawana ndugu wala hawajui asili yao tena huko SA ILA wahindi wa hapa unaowahita watanzania haswa kuliko wabantu, wanarudi INDIA kila mara!
Ni nadra kusikia majumba yale ni ya wahindi ila waarabu; wanajenga INDIA na huwasikii wakilalama kuhusu URAIA PACHA.
Unajiuliza kwanini wanafanikiwa, masikini wa kihindi au kiarabu, ni sawa tu na masikini mmakonde, hatoboi hata iwaje?
Hebu tafuta watu wa ukoo wa akina Mareale, kisha linganisha umasikini na utajiri kwao, unadhani ni kwasababu ya rangi? Ni ukoo uliotajirika kitambo sana, kutoboa kwao ni lazima. Same applies to hao Arabs na Asians, walichukuliwa kama binadamu grade 2, 3, wakapewa fursa hivyo enzi hizo za ukoloni, wakafuata akina Mareale(chiefs) etc.
Unadhani wakina Kikwete, Nyerere, Sykes, Salim walitokea tu from nowhere kama Magu?