Nimeletewa Kesi: Mke wangu anatoka kimapenzi na Mume wa Mtu

Nimeletewa Kesi: Mke wangu anatoka kimapenzi na Mume wa Mtu

Matatizo mengi ya ndoa ni matokeo ya msingi au mwanzo mbovu. Hapo usipokuwa makini hata huyo dada aliyekuletea kesi, ukimuweka karibu utatoka naye.

Atakuwa anasema ukweli. Wanawake anasense kali sana. Ongea na mke wako. Mwambie aache hiyo tabia bila kujali anabisha au la. Ila baada ya kujiridhisha.
Mwambie ukweli akiendelea baada ya katazo hilo, akaolewe na huyo jamaa.

Usizunguke sana.
Kwa haraka hizo hawezi kuupata ukweli.
Amtafute aliyeshitaki amuhoji ampe maelezo ya kina..;

Kwanini anahisi hivyo?

Amewaona pamoja na mara ngapi?

Wanakutana wapi?

Ni sms ameona?

Ameambiwa na mtu?

Huwa wanakutana wapi?

Amewahi kuongea na huyo mke?

Ameongea na mmewe na anasemaje.

Unapotaka kushughulikia jambo hakikisha una taarifa za kutosha, vinginevyo wanawake ni wazuri sana kukana na utamwamini.

Usikurupuke utaumia.
 
Tafsiri yake ni kwamba humridhishi mkeo. Humkazi so anatiwa na huyo mwingine.
 
Mwambie huyo aliyeibiwa mumewe, mfanye CROSS MULTIPLICATION 😂
 
Baada ya kupata taarifa hizo ulitakiwa kifika nyumbani na kutembeza kichapo kwa wife wako. Akishakula kerbu kama tano hivi, ndipo unakuja kumpa nafasi aeleze kuhusu huyo mchepuko wake.
 
Anza kuchunguza kwanza kabla ya kuamua, ukikuta ni kweli fanya maamuzi magumu..
Kama huwezi kufanya maamuzi magumu achana nalo endelea na maisha yako mpaka utakapopata uwezo wa kufanya maamuzi magumu..
Nakutakia kila la heri..
Fact…
 
MAMBO YA MSINGI YA KUYAFAHAMU KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA:

1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa ni ya maisha yote.

2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada ya Ndoa.

3.Upole na ukimya si kiashiria cha tabia njema.

4. Ukikitaka ambacho hakijawahi milikiwa na mtu yeyote, ni lazima ufanye jambo ambalo halijawahi fanywa na mtu yeyote.

5. Mungu akitaka kukubariki hukuletea mtu, na Shetani akitaka kukuangamiza hukuletea mtu.

6. Bora uishi mwenyewe kuliko kuoa ama kuolewa na mtu asiye sahihi.

7. Aina tatu za wanaume wakuepukwa:
(a) Walevi
(b) Wazinzi
(c) Wagomvi.

Aina tano za wanawake wa kuepukwa;
(a) Walevi
(b) Wazinzi
(c) Wachawi
(d) Wagomvi
(e) Wasio tii

8 .Kuolewa na Mchekeshaji hakutakufanya uwe na Ndoa yenye furaha.

9. Maneno matatu yanayojenga amani katika Ndoa:
(a) Nakupenda.
(b) Samahani.
(c) Asante.

10. Kupiga punyeto kwa mwanaume na kujichua kwa mwanamke ni kuharibu mwili wako mwenyewe.

11. Kuoana kabla ya kuwa marafiki ni kama gari bila mafuta, hamuwezi kufika popote.

12. Mafanikio ya Ndoa siku zote ni pembe tatu:


13. Furaha ya kudumu maishani hutegemea na chaguo lako la mwenzi katika Ndoa.

14. Usioe/kuolewa na pesa au mali. Oa/Olewa na mtu. Pesa/Mali hufilisika lakini utu hudumu milele.

15. Uchumba uliovunjika ni bora zaidi kuliko Ndoa isiyo na amani wala furaha.

16. Usiweke kipaumbele chako kwa muonekano mzuri wa mwanamke. Hakuna mwanamke mbaya, bali anahitaji kupendezeshwa.

17. Mapenzi si upofu. Upofu ni kuoa ama kuolewa na mwanamume/mwanamke kwa sababu tu anakidhi haja zako kingono.

18. Ukiwa rafiki mwema, utawavutia marafiki wema. Vivyo hivyo kwa marafiki wabaya.

19. Asili ya mikono inayojali ni moyo unaojali.

20. Iepuke Ndoa mbaya kabla haijaanza.

MUNGU AKUBARIKI ILI UPATE CHAGUO SAHIHI.
Amina mtumishi [emoji120]
 
na wewe
Ndugu zangu wana jamiiforums habari za asubuhi hii ? kwangu mimi ni mzima wa afya na nipo sawa kabisa

Sina cha kupoteza Kama mnavyoona hapo juu kwenye bandiko.

Jana jioni mida ya saa moja nikiwa kazini kwangu kuna dada ninayemfahamu kwa sura tunaishi mtaa mmoja alikuja kazini kwangu, hapo kazini kulikua na watu kadhaa wakipata huduma,

Baada ya watu wote kuondoka alinifata huyo dada akanieleza kwa uchungu mkubwa kuwa "mke wako anatembea na mme wangu mwambie mkeo aachane na mme wangu" maneno hayo aliyatamka kwa kuyarudiarudia na mpaka machozi yakamtoka

Kuna watu wakatokea pale kupata huduma yule dada akaondoka sikupata nafasi ya kuzungumza nae kiundani ili kujua mke wangu alitembea na mme wake lini, na nimeshindwa kuchukua hatua yoyote mpaka sasa nashindwa nianzie wapi, inavyoonekana mpaka dada huyu kulia kwa uchungu mbele yangu itakuwa kweli mke wangu anatoka kweli na mmewake

Ndugu zangu hili suala ni zito kweli kwangu nianzie wapi, majibu sina. Nimeamua kulileta hapa mimi kijana mwenzenu mnipe mawazo nifanye nini nimetuliza akili yangu sijakurupuka ila hatua ya kwanza nimeona nililete hapa.


Asanteni
Yuda_exalioth
Jamiiforums_Geita
kula mbususu ya huyo aliyekuja kushitaki
 
Anza kuchunguza kwanza kabla ya kuamua, ukikuta ni kweli fanya maamuzi magumu..
Kama huwezi kufanya maamuzi magumu achana nalo endelea na maisha yako mpaka utakapopata uwezo wa kufanya maamuzi magumu..
Nakutakia kila la heri..
Sio maamuzi magumu bali awe anamajibu kua ikiwa kweli atafanya nini.

Isijekua anautafuta ukweli na maamuzi baada ya huo ukweli hana. Kwanza kabisa ajipange ikiwa ni kweli afanyaje na ikiwa si kweli atafanya nini.

Ila asiache hili lipite, ni udhaifu mkubwa sana.
 
Pole sana mkuu kwa maumivu unayopitia kipindi hiki kigumu. Hongera na endelea kutuliza akili. Usipaniki,acha akili itawale maumivu na hisia ulizokuwa nazo kwa wakati huu. Inawezekana kabisa mkeo sio muaminifu na wewe Kwa sababu upo bize au unakuwa kazini anapata muda kufanya huo uasherati. Na kama hauna tabia ya kujichanganya na watu inakuwa ngumu kupata taarifa za uzinzi wa mkeo. Mtafute kwa siri huyo dada ukae nae sehemu umdadisi kiundani akupe mkanda mzima. Na pengine kama Kuna ushahidi basi akupe Ili ukusaidie kufanya maamuzi yaliyo sahihi.

Though if the case is true.. breaking up is necessary ,vise versa is also is a decision. Considering the options and reasons available. Ni ngumu kuishi na mwanamke mzinzi.

Pole sana mkuu
Kuishi na mwanamke mchafu na mzinzi unahutaji moyo wa chuma
 
Kuna mambo ambayo watu husingizia but sio kwenye mapenzi itakuwa kweli,huna mke hapo una kahaba
 
Back
Top Bottom