lelulelu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 444
- 400
- Thread starter
- #61
Wewe sio trader mkuu huwezi kuelewa hizi ishu,wabwia unga wakikwambia arosto huwezi kuwaelewa utawaona wapumbavu ila kiuhalisia ni kitu kweli ipo na inawatafuna kinyama,so mkuu kama wewe sio trader huwezi elewa hizi mambo aseHivi mna akili kweli?