Nimeliwa baada ya kutrade forex hela ya matumizi ya nyumba na nauli ya mdogo wangu kwenda shule.

Nimeliwa baada ya kutrade forex hela ya matumizi ya nyumba na nauli ya mdogo wangu kwenda shule.

Dah jamaa yangu mara mia ungeniambia nikupe odd 200 ungekula zako milion kadhaa sijui ungenikumbuka dah hy dunia noma ila afathar wewe mwenzako niliweka pesa ya mgonjwa kulipia hospitar ni pesa ndefu yote nikaliwa ila unajua nini japo utakutana na changamoto ila yatapita na wala halidumu hata siku5 jibu utakuwa umepata usijipe stres hy nipesa tu ipo tu we unalia ada ambapo hata mtoto wiki mbil mbele anaenda mwenzako, mgonjwa yupo chumba cha upasuaji inaitajika pesa ndipo apasuliwe baba vuta picha afu muhun ndio nimeweka pesa ya mchango forex na betpawa ile naangalia mkeka lost ile naangalia apu ya forex lost mzee achaa afu saa bado moja upeleke pesa kama laki nane hivi niseme tu jomba huna tatizo wenye matatizo tumetulia tu hapa ila yamepita
Da mkuu umenipa moyo sana ase ila hata mm kwa upande wangi hli ni tatozo mana bimkubwa alinipa mimi pesa za shule kwa dogo langu aende alafu bimkubwa maisha yake ni ya kawaida tu kaka,nikimuambia nimebeti ah itakuwa timtim tu
 
Da mkuu umenipa moyo sana ase ila hata mm kwa upande wangi hli ni tatozo mana bimkubwa alinipa mimi pesa za shule kwa dogo langu aende alafu bimkubwa maisha yake ni ya kawaida tu kaka,nikimuambia nimebeti ah itakuwa timtim tu
ukimwambia umebeti ndio tatizo lingine, kwanza kwasasa acha mawazo ya kupambania kurudisha pesa uliyopoteza utajikuta umepoteza zaid chakufanya ni hiki potezea nazan huwez nielewa nasema hv potezea relax kila wazo hilo likija usilipe uzito unajua nn matatizo yote majibu yapo kwenye kichwa chako unapokaa kuwazia jambo hilo ubongo wako utashindwa kukusaidia nn ufanye, mana kwa kuwaza kwako huwez fanya pesa irud zaid utachanganyikiwa kama unaona hy nikufundishe kitu kingine
 
Hii forex imemfanya jirani yangu kitu mbaya sana yaani muda wote kama chizi ukimuuliza kuhusu forex na aanze kuonyesha flow ya pesa

Halafu kuna wajinga wa forex wanatuponda sisi wa betting wakati sisi tunacheza vitu real yaani kama leo Girona 3- Athletico Madrid 2 halafu naweka mia yangu natulia tuli
Hahahahaha aisee
 
ukimwambia umebeti ndio tatizo lingine, kwanza kwasasa acha mawazo ya kupambania kurudisha pesa uliyopoteza utajikuta umepoteza zaid chakufanya ni hiki potezea nazan huwez nielewa nasema hv potezea relax kila wazo hilo likija usilipe uzito unajua nn matatizo yote majibu yapo kwenye kichwa chako unapokaa kuwazia jambo hilo ubongo wako utashindwa kukusaidia nn ufanye, mana kwa kuwaza kwako huwez fanya pesa irud zaid utachanganyikiwa kama unaona hy nikufundishe kitu kingine
Nifundshe mkuu mana kuna ktu umeongaa hapo kwamba niache mawazo ya kurudsha hela,na hayo mawazo huwa ynakuja ila sina hela.
Ila kwa sasa hv nimepigwa na butwaa nifundishe mkuu
 
Kwa ufupi Aliyekufundisha Forex alikudanganya.

Rudi tena ukamuulize
Amenidanganya nini,we unajua amenifundisha nini ?
Acha huo uboya.
Kwani kila mtu anachofanya kwenye forex amefundishwa ?
Si kuna mambo ambyo mtu hufanya kwa utashi wake tu ?,we ni forex trader gani hujui haya ? Hata huo ushauri wako siutaki.
Kama huna mchango potea mazima baki na ushauri wako kama hautaki ksaidia watu.
 
ujinga wa forex dau/mtaji ni mkubwa. dau/mtaji sijui kwenye forex wanaitaje?, kwenye betting tunaita stake.

kwenye betting hata sh. 10 au 100 unaanza nayo kama mtaji. siyo kama forex ukiwa na 100 huchezi, hata buku lenyewe ukute nalo huchezi. tunaobet hatuna stress, tunaifanya betting kama burudani pale unapotafuta mechi kwenye sources huku na kule. forex kima cha chini malaki, na kula ni bahati nasibu.
 
Ukishasema tu unacheza forex unaliwa. Ndio ubaya. Next time usicheze. Sio mchezo ule
Betting ndio unacheza.
 
Kumanina najuta aise kichwa kinaniuma hpa keshokutwa dogo anaenda shule na bi mkubwa ananiulizia
Jidondoshe ujifanye umezimia wakubebe wakupeleke hospital ukifika tu emergency hakikisha unamwambia doctor miye mzima nimefake na maswahibu acha nipumzike atakuelewa,

Sema hali ilivyongumu usijekuta bi mkubwa anahoji vipi sasaa mdogo wako shule na upo kitandani sijui itakuwaje
 
Back
Top Bottom