Nimemchoka huyu dada, nataka tu nianze maisha mengine. Hana akili kabisa

Wenzetu wanapata wap watu wa hv jaman. Watu tunapauka na shida ah jaman had wivu mi hata nkipewa laki kwa mwez si nngetemea wanaume mate huko nje[emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mwanamke amekusoma, amekuona kuwa wewe boya wake. Naulisha mwonjesha huo utamaduni wa kumhonga ukiacha mtagombana. Inavyoneonekana wewe ulimpata Kwa kutumia pesa SASA tumia pesa kumantain hayo mapenzi.
 
Duh🙌🙌
Kweli maisha yanatofautiana
 
Hujui usemacho, asikuombe pesa amuombe nani? Rekebisha kauli

Sema hivi...mwanamke akupendaye hawezi kukuomba pesa ya kuchezea.
Endelea kutoboka.
 

Attachments

  • Screenshot_20230709_203109.jpg
    53.9 KB · Views: 3
Wachache watakuelewa but that's a pure fact. Bongo classic chicks ni wachache sana. Wengi ndio hawa gold diggers wanaomsumbua mleta mada.
 
Sio pisi kali wote wanakua na tabia io ya kukamua mifuko ya wanaume, kuna wadada hawana sura, hawana tako ila wanaomba hela hao looh Mademoiselle
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…