Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hutaki tabu 😅ntajua wapi rafki yangu mi nahangaika na church gals wako simple tu😂
Kwanini mwalimu?Ahhaahhah ila jamaaa uliingiaa chaka kwanini usitafute size yako inay kutosha ni sawa na mwalimu kwenda kumtongoza Rubani wa ndege na kumuhakikishia atamtunza
Wewe upo katikati yaani muda masaki muda buza 🤣Mkuu kwa hiyo mie changanyikeni 😂
Ndio watu wanaopambana sana kutafuta size isiyo yao nakumbuka dada yangu aliwaktaa walimu wawili na barua waliletaKwanini mwalimu?
Heee! 😂😂Wewe upo katikati yaani muda masaki muda buza 🤣
Yaani wanalalamika utafikiri kalazimishwa...laki tatu sio hela ya kuja kufungua uzi hapa...ameniboaaToa hela.. ukiona hawara anaomba sana si usepe? Nini mnakuja kujiliza hadharani? Uwaga mnalazimishwa kwani ama
Mtu ameomba mpe nyeupe kabisa sina. Sio kuanza kuandika essay mbali mbali, ama nakupa robo yake.
Sasa kama rafiki zako ndio mshamba_hachekwi tukuweke wapi?Heee! 😂😂
Naomba namba yakoYaani wanalalamika utafikiri kalazimishwa...laki tatu sio hela ya kuja kufungua uzi hapa...ameniboaa
Nafikiri nishafunga ukurasa.Ila ukipata si unatembea nao 😃
Unitumie laki 3 au 😒Naomba namba yako
Baba elisha punguza kujitetea tuma laki 3 mambo yasiwe mengi 😁Nafikiri nishafunga ukurasa.
Naoenda sana MWANAMKE mwenye AKILI.
Warembo wengi yaani vile visu vikali akili za maisha ni zero, watakufanya uzunguke jangwani maisha yako yote.
Katika maisha hawana msaada wa kukitunza hata kidogo ulicho nacho.
Wako kukitapanya tu ili waonekane wako juu kila wakati.
So kwangu ukurasa...umefungwa...labda kwa msaada wa dharura😂
Mama Elisha...kabla hujaniona maeneo yale...nimwpitia moto wa miss mwenzako...mpenda maisha ya juu kila siku, niliparuliwa hadi ngozi acha tu.Baba elisha punguza kujitetea tuma laki 3 mambo yasiwe mengi 😁
Hii tabia inaonyesha how immature you are. Tafuta hela, laki tatu sio ya kuja kulalamika humu unless hujampenda maana ukipenda mtu uwe tayari kwenda nae extra miles.Anapenda pesa kama Bank. Hazipiti week mbili anaomba pesa. Yeye zake anatanua sana maisha. Simu anabadilisha kila mara na vitu vya thamani. Kushindana na wenzie kuwa ana boyfriend tajiri. Mimi siyo tajiri. Nimekuwa tu fala nikidhani atathamini mapenzi yangu.
Now its too much. Aende zake kwa kweli. Inatosha sana.
View attachment 2682796
Mambo ya viuno sijui sana, lakini kwa mada hii, mtoa mada ni wale wanaopenda pisi kali. Sa pisi kali zinakamua mifuko daddekkk..wanawake wasioomba hela, hawana tako, sura zao za kawaida na vijichunusi vya hapa.na pale, most of the times wanajielewa sana na wako serious na maisha. Lakini unafikiri watu aina ya mleta mada watawataka??? Wanafata wenye chura, ndo wanaishia kugharamikia chura...ndegelec..😅😅😅😅Classic services ndio zikoje?
Mbona nasikia eti classic chicks hata viuno hawavijui kivile
Si eti e mshamba_hachekwi
Yeye anafikiria wewe ni poyoyo.Ila wanawake bwana! Unajaribu kuwaza mtu anafikiria nini unashindwa kuelewa.
we tuma no kwanzaUnitumie laki 3 au 😒
Hapo kwenye chunusi 🤣🤣🤣🤣Mambo ya viuno sijui sana, lakini kwa mada hii, mtoa mada ni wale wanaopenda pisi kali. Sa pisi kali zinakamua mifuko daddekkk..wanawake wasioomba hela, hawana tako, sura zao za kawaida na vijichunusi vya hapa.na pale, most of the times wanajielewa sana na wako serious na maisha. Lakini unafikiri watu aina ya mleta mada watawataka??? Wanafata wenye chura, ndo wanaishia kugharamikia chura...ndegelec..😅😅😅😅