Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,987
- 1,757
Sijui hujaelewa nini we bata. Nimekuambia kaomba. Kwani umeambiwa kamkata mtu kisha anachukua rushwa? We unawashwa kweli nyuma hukk. Na tunapoenda tutahakikisha wanaowakuna tunawamaliza
Waone hivyo hivyo!.Hao hawawezi hata kujenga banda la kuku kwa kupitia mshahara labda wachuke mkopo.
Huyo jamaa ni mfuasi wa yule dhalim ndiyo maana ana mawazo ya kuzimuHili nalo jinga kabisa ! Unasaport rushwa? Unajua nin kinafuata hapo baada ya kumnyima? Lkn pia ukitazama riport ya cag wezi wote waliotajwa wanatokea sukuma gang! Kaka mkuu ni masanja kadogosa!
Kumbe huyu mwana ni junya ndiyo maana anarembua macho ule ute wa kibaiolojia umeshamharibuMashoga bhana! Yaan ukipata tu kamwanya unau promote ushoga wako!
Jiwe alikwapua 1.5 trillionBora wao wanaomba wanapewa kuliko wale wanaopiga mabilioni chini ya serikali ya samia. Huyo askari umemuonea tu.
Jiwe=devilSijui hujaelewa nini we bata. Nimekuambia kaomba. Kwani umeambiwa kamkata mtu kisha anachukua rushwa? We unawashwa kweli nyuma hukk. Na tunapoenda tutahakikisha wanaowakuna tunawamaliza
Ni kituo cha mabasi cha mawasiliano. Wako maaskari wengi lango wa kuingilia, kila gari linaloingia linasimamishwa na kuchukua hela kwa konda. Bahati nzuri nikashuhudia askari wa kike akipokea hela, nikamfuata na kumweleza nichokiona, akanijibu vibaya.
Nikatishia kuchukulia hatua zaidi lakini wenzake wa kiume wakaniomba msamaha. Hili jeshi limeoza kabisa.
Halijaoza ila waliruhusiwa kuchukua hela ya kubrashi viatu.Ni kituo cha mabasi cha mawasiliano. Wako maaskari wengi lango wa kuingilia, kila gari linaloingia linasimamishwa na kuchukua hela kwa konda. Bahati nzuri nikashuhudia askari wa kike akipokea hela, nikamfuata na kumweleza nichokiona, akanijibu vibaya.
Nikatishia kuchukulia hatua zaidi lakini wenzake wa kiume wakaniomba msamaha. Hili jeshi limeoza kabisa.
Mishahara midogo, watumishi wa umma hutafta namna ya kuishi vizuri mjini. Wote tunaiba ila tunatofautiana namna ya kuiba tuNi kituo cha mabasi cha mawasiliano. Wako maaskari wengi lango wa kuingilia, kila gari linaloingia linasimamishwa na kuchukua hela kwa konda. Bahati nzuri nikashuhudia askari wa kike akipokea hela, nikamfuata na kumweleza nichokiona, akanijibu vibaya.
Nikatishia kuchukulia hatua zaidi lakini wenzake wa kiume wakaniomba msamaha. Hili jeshi limeoza kabisa.
Jeshi letu la Polisi ni chumvi iliyoharibika mkuu,halikarabatiki.Chumvi ikiharibika utaitia nini hadi ikoloze,nothing,dawa ni kuitupa tu.Vivyo hivyo njia sahihi ya Jeshi letu la Polisi dawa yake ni kulivunja na kulijenga upya.Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alifanya mwaka 1974, na baada ya kulivunja IGP wa kwanza alikuwa Mzee Mgaya.Hata sasa tunaweza,tatizo ni uyahe yahe wa huyu Mnzazibari Samia.Zanzibaris na watu wa pwani culture yao ni kuchukulia kila jambo poa tu,hata mambo ya muhimu,they are never serious.Ni kituo cha mabasi cha mawasiliano. Wako maaskari wengi lango wa kuingilia, kila gari linaloingia linasimamishwa na kuchukua hela kwa konda. Bahati nzuri nikashuhudia askari wa kike akipokea hela, nikamfuata na kumweleza nichokiona, akanijibu vibaya.
Nikatishia kuchukulia hatua zaidi lakini wenzake wa kiume wakaniomba msamaha. Hili jeshi limeoza kabisa.
Hayo ni maswali ya mahakamaniUlimweleza ulichokiona ukiwa na lengo gani? Mgawane?
Unasema akakujibu vibaya, alikujibu nini?
Ulivyotishia kuchukua hatua zaidi, ni hatua gani ulikusudia kuchukua?
Wenzake walivyokuomba msamaha, je yeye alikuomba msamaha? Pesa aliyochukua/aliyopewa aliirudisha?
Nini kilfuata baada ya hapo?
Huyo nahisi ni Askari Polisi mkuu,wana tabia ya kulindana kweli kweli,labda jambo liwe wazi sana.Hayo ni maswali ya mahakamani
Kuna wanaopora kwa kudonoadonoa yaani ndondondo, sasa magwiji hukinga kabisa mkondo wa maji na kufikia mabilioni.Kwa asubuhi hii hiyo inaitwa ya chai, baadae mchana watatafuta ya lunch, na jioni watatafuta ya chakula cha usiku.
Mishahara yao wanajengea tu mijumba.
Wee bibi mlinda legacy una taabu san au kwakua JPM aliruhusu rushwa kwa hao jamaa na kusema ni kwaajil ya ku brush daluga? Rusha ni rushwa haimaanishi iwe trln au buku yote ni rushwa!!Bora wao wanaomba wanapewa kuliko wale wanaopiga mabilioni chini ya serikali ya samia. Huyo askari umemuonea tu.