Mama Naa
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 453
- 1,104
Ukweli mchungu.Bora wao wanaomba wanapewa kuliko wale wanaopiga mabilioni chini ya serikali ya samia. Huyo askari umemuonea tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mchungu.Bora wao wanaomba wanapewa kuliko wale wanaopiga mabilioni chini ya serikali ya samia. Huyo askari umemuonea tu.
Kama hawaridhiki na maslahi yao si waandamane au wagome kama nchi nyingineHongera kwa ushujaa huo Mkuu.
Ila sema maslahi yao nayo ni duni sana.
Ungempiga picha akichukua rushwaNi kituo cha mabasi cha mawasiliano. Wako maaskari wengi lango wa kuingilia, kila gari linaloingia linasimamishwa na kuchukua hela kwa konda. Bahati nzuri nikashuhudia askari wa kike akipokea hela, nikamfuata na kumweleza nichokiona, akanijibu vibaya.
Nikatishia kuchukulia hatua zaidi lakini wenzake wa kiume wakaniomba msamaha. Hili jeshi limeoza kabisa.
Nchi imejaa majangili tupuMkuu ungemuacha tu, hao ni dagaa tu a mbao wanachukua 2000 na wengine 5000 ambazo haziwewi kiathiri sana.
Wanaotuumiza ni ma papa ambao wametajwa kwenye ripoti ya CAG kama vile upotevu wa trillioni moja ya tanrod, matumizi makubwa ya mama kwenda dubai na kulipa mabilioni ya pesa huku watz tunataabika na miundombinu mibovu nchi nzima.
Shukuru sana mkuu 'Gulwa', bahati yako nzuri hukuumizwa kwenye mkasa huo.Ni kituo cha mabasi cha mawasiliano. Wako maaskari wengi lango wa kuingilia, kila gari linaloingia linasimamishwa na kuchukua hela kwa konda. Bahati nzuri nikashuhudia askari wa kike akipokea hela, nikamfuata na kumweleza nichokiona, akanijibu vibaya.
Nikatishia kuchukulia hatua zaidi lakini wenzake wa kiume wakaniomba msamaha. Hili jeshi limeoza kabisa.
sawa mama watotoWewe inaonekana unatumika kinyume
Mh mijumba wakati kuna jamaa ni jirani yangu kabla sijanunua kiwanja yeye alishajenga ila mpka leo nimehamia kitambo kidogo yeye kaweka wavu madirishani nikikaa nae anajisifu ana ng'ombe wengi kanda ya ziwa ila haishi kuniomba hela muda mwingine mkewe anamuomba wife hadi mafuta ya kula. Hela za rushwa zinalaana na mwamba yupo mataa ya veta pale anawapuna boda hela zao kama zote. Ila hana cha maana anachofanya zaidi ya kunywa pombe.Kwa asubuhi hii hiyo inaitwa ya chai, baadae mchana watatafuta ya lunch, na jioni watatafuta ya chakula cha usiku.
Mishahara yao wanajengea tu mijumba.
Lah, inabidi kukubaliana nawe katika hili.Bora wao wanaomba wanapewa kuliko wale wanaopiga mabilioni chini ya serikali ya samia. Huyo askari umemuonea tu.
Sasa 2k kwa mwezi mzima si 60k na bado maisha yanakua hatarini kwa kuwa na gari mbovu barabarani. Inaeleweka rushwa sio leo wala kesho itaisha ila kuikemea ni jukumu letu.acha tuwape we inakuuma nini, bora kutoa elf 2 kuliko fine ya elf 60, hamna daladala lililokamilika 100%, hiyo haiitwi rushwa hiyo mlishaambiwa ni yakubrashia viatu, huwezi kumpeleka popote boya wewe, hiyo chain ya mgao ni mkubwa kuliko kichwa chako kibovu
Wewe na hao waliofurahia haya maneno yako ni polisi hao hao wabovu. Baada ya hapa mtakuwa mnaingia hata kwenye majumba ya watu na kuwapora mali zao, na bado utaona hakuna sababu ya kulalamikiwa majambazi nyie.Acheni kuyafanya maisha kuwa magumu kiasi hicho, sijaona haja ya wewe kubishana na huyo askari
Ndo ndoto mkuuHHaina
Haina maana yoyote, umechomwa moto, ukapata wapi nafasi ya kwenda kupishana na wezi kwny V8😂😂
Mimi ni Me,vipi dada mkubwa uko kwenye heat nije nikurutubishe?We ni Ke au Me? mbona unaingia kinyume kinyume kwenye mambo yasiyokuhusu. Au una ajenda yako?
Vijana mna masifa kweli kweli mkipata vi cheo kidogo tu basi ,sasa ulimgombeza Askari alikuomba wewe hiyo rushwa?Ni kituo cha mabasi cha mawasiliano. Wako maaskari wengi lango wa kuingilia, kila gari linaloingia linasimamishwa na kuchukua hela kwa konda. Bahati nzuri nikashuhudia askari wa kike akipokea hela, nikamfuata na kumweleza nichokiona, akanijibu vibaya.
Nikatishia kuchukulia hatua zaidi lakini wenzake wa kiume wakaniomba msamaha. Hili jeshi limeoza kabisa.
Na huo ni mradi wa watu,wenyewe wapo wametulia tuliKama ni Kwa asubuhi hilo limezoeleka ukishatoa hiyo husumbuliwi Tena labda ufanye makosa ya mengine Kila daradara ndivo ilivyo