Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
In JPM voice nao wanaitekeleza.Hela ya kubrashia viatu hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
In JPM voice nao wanaitekeleza.Hela ya kubrashia viatu hiyo
Nimekuuliza ili kukusaidia kuyapa nguvu maelezo yako hapa..Hayo ni maswali ya mahakamani
[emoji3][emoji3]Huyo nahisi ni Askari Polisi mkuu,wana tabia ya kulindana kweli kweli,labda jambo liwe wazi sana.
acha tuwape we inakuuma nini, bora kutoa elf 2 kuliko fine ya elf 60, hamna daladala lililokamilika 100%, hiyo haiitwi rushwa hiyo mlishaambiwa ni yakubrashia viatu, huwezi kumpeleka popote boya wewe, hiyo chain ya mgao ni mkubwa kuliko kichwa chako kibovuNi kituo cha mabasi cha mawasiliano. Wako maaskari wengi lango wa kuingilia, kila gari linaloingia linasimamishwa na kuchukua hela kwa konda. Bahati nzuri nikashuhudia askari wa kike akipokea hela, nikamfuata na kumweleza nichokiona, akanijibu vibaya.
Nikatishia kuchukulia hatua zaidi lakini wenzake wa kiume wakaniomba msamaha. Hili jeshi limeoza kabisa.
we maza unashidaHayo ni maswali ya mahakamani
Naunga mkono hoja yako 💯. Hivi vielfu elfu ni vioffer offer tu vya kawaida tunavyopeana peana hata huko mitaani ! Na wala havina madhara makubwa kwa Taifa !! Tupige makelele kwa mabilioni yetu yanayopigwa kila kukicha Wajameni msituhamishie magoli !! Hivi vipesa vya supu na kiwi ni bure tu hata kuviongelea !!Bora wao wanaomba wanapewa kuliko wale wanaopiga mabilioni chini ya serikali ya samia. Huyo askari umemuonea tu.
We ni Ke au Me? mbona unaingia kinyume kinyume kwenye mambo yasiyokuhusu. Au una ajenda yako?Huyo jamaa ni mfuasi wa yule dhalim ndiyo maana ana mawazo ya kuzimu
Rushwa unaithibitishaje we mama? Au unaongea tu kama shimo la maji taka?Wee bibi mlinda legacy una taabu san au kwakua JPM aliruhusu rushwa kwa hao jamaa na kusema ni kwaajil ya ku brush daluga? Rusha ni rushwa haimaanishi iwe trln au buku yote ni rushwa!!
Masikini 🤣🤣na hapa umefoka na kutumia akili zote mpaka ya akiba!! Still ni pointless!! Mtoa mada kasema waz ameshuhudia Askari wa usalama barabaran akichukua rushwa toka kwa konda. Kitu ambacho ni uvunjaji wa sheria mtoaji na mpokeaji!! Ukitaka uthibitishiweje?? Tatizo lenu mpo very upset, kubalin matokeo and let life goes on...Rushwa unaithibitishaje we mama? Au unaongea tu kama shimo la maji taka?
Haina maana yoyote, umechomwa moto, ukapata wapi nafasi ya kwenda kupishana na wezi kwny V8😂😂
Uliyemfokea ndiye anayepaswa kucbunguza na kuchukua hatua dhidi ya waliopita na pesa zilizoonekana kwenye screens za CAG.Ni kituo cha mabasi cha mawasiliano. Wako maaskari wengi lango wa kuingilia, kila gari linaloingia linasimamishwa na kuchukua hela kwa konda. Bahati nzuri nikashuhudia askari wa kike akipokea hela, nikamfuata na kumweleza nichokiona, akanijibu vibaya.
Nikatishia kuchukulia hatua zaidi lakini wenzake wa kiume wakaniomba msamaha. Hili jeshi limeoza kabisa.
Wewe inaonekana unatumika kinyumeacha tuwape we inakuuma nini, bora kutoa elf 2 kuliko fine ya elf 60, hamna daladala lililokamilika 100%, hiyo haiitwi rushwa hiyo mlishaambiwa ni yakubrashia viatu, huwezi kumpeleka popote boya wewe, hiyo chain ya mgao ni mkubwa kuliko kichwa chako kibovu
Za kubrashia viatu!Wanachukua 3000
Ngoja tumuulize CAG.
Hongera kwa ushujaa huo Mkuu.Ni kituo cha mabasi cha mawasiliano. Wako maaskari wengi lango wa kuingilia, kila gari linaloingia linasimamishwa na kuchukua hela kwa konda. Bahati nzuri nikashuhudia askari wa kike akipokea hela, nikamfuata na kumweleza nichokiona, akanijibu vibaya.
Nikatishia kuchukulia hatua zaidi lakini wenzake wa kiume wakaniomba msamaha. Hili jeshi limeoza kabisa.