Nimemgombeza askari wa usalama barabarani, wenzake wameniomba msamaha

Vijana mna masifa kweli kweli mkipata vi cheo kidogo tu basi ,sasa ulimgombeza Askari alikuomba wewe hiyo rushwa?
Mimi sio kijana ndio maana nikapata confidence ya kumgombeza
 
Kwa asubuhi hii hiyo inaitwa ya chai, baadae mchana watatafuta ya lunch, na jioni watatafuta ya chakula cha usiku.

Mishahara yao wanajengea tu mijumba.
Wanajenga majumba ughaibuni? Mbona wengi huku wanaishi kwenye nyumba full suit ni mabati?wakati wa mchana wote wanakaa nje kwa sababu ya joto kali ndani
 
Sawa kabisa
 
Hakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…