Lah, inabidi kukubaliana nawe katika hili.
Kwa kweli ni bora kabisa kwa hao wanaoomba, kwa sababu unayo hiari ya kukataa, hata kama utanyimwa haki yako kwa kutotaka kushiriki kwenye hujuma hiyo.
Hawa walioko huko serikalini, hata hawatupi nafasi ya kuwakatalia wasizoe mali zetu!