Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Yapi hayo?[emoji849][emoji849]Huu Uzi unaumiza Sana we Mungu nakuomba usiku na mchana haya yasinikute
Nakushauri kwa Moyo mkunjufu na mnyenyekevu, piga moyo konde na endelea na maisha yako huku ukilea watoto wako.Habari,
Kwa maskitiko makubwa baada ya kugundua mke Wang anamahusiano mengine na kuamua kuondoka baada ya ugomvi mkubwa.
Sasa tukiwa naprocess kumpa talaka na mimi nikiwa nimebaki na watoto (under 7years).
Naanza ku experience mateso makubwa kwakuogopa kukaa Karibia na wanangu kwakuulizwa mama Yuko wapi na kwanini hakai nyumban.... Aisey asikwambie mtu nnawakat mgumu mnoo ukizingatia hatujazoea kudanganya watoto.
Nikiingia chumbani ndo kabisaa upweke nnaopata Hadi nakonda na hamu ya kula inaisha.
Kila nikifikiria kuanzisha mahusiano mapya sioni na Wala sielewi kama ntapata mwanamke niliyemzoea Kama mke Wang.... Si Kama mzuri kuliko wengne ila nifundi kweli kweli💘. Nahisi
Imekua ngumu kwasababu mimi sio wa michepuko ndio maana na teseka
nafiria kuhama nyumbani kwangu, watoto nipeleke kwa bibi yao mi nitafute chumba niishi Kama bachelor Mana sitokua mazingira ya nyumban kwangu nilipozoea kua na mke wangu na watoto labda itanisaidia .
Kwakweli sikutegemea ndoa inawezakuvunjika kirahisi hivi maana nilidhani Nina ndoa very strong (tulidhani tumewezakuchukuliana vyakutosha)
Separation sijambo rahisi wazee Kama unadhani unaweza kuokoa ndoa yako anyhow jitahidi uokoe before too late.
I missed her but Moyo wangu hauna Imani nae Tena nahisi nnahisi nnaweza fungwa kwa ajili take.
Usiombe
Eeeh eeeeeeeh acha kukuza mambo na wewe!My foot!!
Yaani amuombe msamaha mwanamke mzinzi!!
Mpaka umfumanie mwanamke jua ameshakudharau.
Na akaamua kuondoka kabisa.
Ukimrudia atakuua.
Mke ndo msaliti halafu msamaha aombe huyu jamaa?Kwanini usijishushe kuomba msamaha mkuu mkaendelea nae tu ..
inaonekana umeingia uwanjani kucheza ligi kuu (ndoa)bila kucheza ndondo cup(kula ujana na kupitapita na wanawake kuwajua)...
Na wewe uko hivo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukiwa siyo ME si rahisi kuelewa. Nyinyi ni rahisi sana kusamehe ME aliyechepuka hata kama ni ndani ya ndoa, lakini ni ngumu sana kwa ME. Jamaa anahofia angeweza kumdhuru mkewe au hata kumuua kwa hasira alizonazo. Ni bora aliondoka.
Mke wangu asije akaniacha nitaumia mno halafu hata mama yangu mzazi naweza kumpoteza kwa sonona mke anaumwa mno kwa mwanaume hasa pale utakapoanza kupigiwa baada ya kumuacha.Yapi hayo?[emoji849][emoji849]
Hivo? Na nyie viboro vyenu vinavyoshinda nje vinafanya tour in different pussy mnahisi hatuumii eeh?[emoji848]Mke wangu asije akaniacha nitaumia mno halafu hata mama yangu mzazi naweza kumpoteza kwa sonona mke anaumwa mno kwa mwanaume hasa pale utakapoanza kupigiwa baada ya kumuacha.
Hatumiki asee...anapata FarajaOLE WAKO uoneshe kwake kuwa hauna sehemu nyingine ya kukupa furaha isipokuwa wewe UMEKWISHA. Wanawake wanaishi kimazoea na akitambua kuwa huna mbele wala nyuma kwake basi utakuja kulia kama katoto
Achana naye acha aendelee kutumika huko nje
Na wewe uko hivo?
HillariousMke ndo msaliti halafu msamaha aombe huyu jamaa?
Howdy 😜Hivo? Na nyie viboro vyenu vinavyoshinda nje vinafanya tour in different pussy mnahisi hatuumii eeh?[emoji848]
Dah sasa mzee baba humtimizii mtu mahitaji yake then what do u xpect halafu unapata wapi guts za kumuita mke while hujawa mume kwake? Anatimiziwa na watu wengineNi kwel Mimi ni chanzo lakini je kwa mke wa mtu mwanamke mwerevu mwenye watoto kuacha nyumba yako ukaamia kwa mpita njia ni ujanja au upumbavu!??
#chanzo Mimi simtimizii nahitaji yake yooote
Hivo? Na nyie viboro vyenu vinavyoshinda nje vinafanya tour in different pussy mnahisi hatuumii eeh?[emoji848]
Huyu mtu amesema hapo chini, anaweza pelekwa jela.. Bahati mbaya wakati yupo jela, mke wake atakuwa mochwari...Pole mkuu!
Umejaribu njia zote za kurudiana ikashindikana?
Maana hakuna mkamilifu hasa kwenye sex, binafsi labda nikudake unanifanyia shiriki but nikikufuma bed ntakusamehe najua nyege zako tu zimekutuma maana hazina adabuu.....
Msamehe mkuu mlee watoto, divorce anaiweza mwanamke nyie wanaume huwa mnakufa
Mrudie!
Hana lolote huyuUwiiii kwanza linavyodharau wanawake, mke wake kazi ipo na kama anae kweli maana[emoji848]
Basic needs Kama mke na mama watoto alikua anapata kwangu alichokitafuta nje ni kupagawa kwakukosa luxuriesDah sasa mzee baba humtimizii mtu mahitaji yake then what do u xpect halafu unapata wapi guts za kumuita mke while hujawa mume kwake? Anatimiziwa na watu wengine