Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
- Thread starter
-
- #241
TATIZO hiio miezi mitatu na yeye anageuka kahabaNimefikiria kdg kwa kuwaunampenda na bado unamuitaji alee watoto wako bas mpe likizo ya miezi mitatu HV au miwil Wala usitoe talaka mrudushe Apo hasira yako itakuwa imepoaa snaana maisha yateendeleaa kwakwel kumpata mtu atakae kuzoee muda huu Ni Kaz Sana unaenda kuzoa makahaba tu bas mungu akusaidie
Ntapata jingine hamna shida hela itarudi tuu ma Samia si yupoSasa hivi hilo tako kapewa muhuni mwingine analibinua binua...mkuu tafuta hela
Ndo maana unalia lia sana...
Huwezi amini alikua hapiki Wala haangalii watoto yeyw ni kujua wameamka shule na wamelala anawahi kazini na kuja kulala karibu mwaka Sasa na nilikua navumilia kisa anadai ana tafuta hela ya kusaidia kwao..... Siku lalamika ila kwa ishu ya kuxhapiwa asikwambie mtuNi rahisi wewe kusema hivyo sababu ni mwanamke....huijui inner psychology ya wanaume. dhambi kubwa ya mwanamke kwa mme wake ni kwenda kutombesha nje...wanaume wengi tuko very serious na hii kitu, hatutaki ujinga. Tukijua things will never be the same again...
Kunywa maji ntalipa😝😝Mwanaume huwa hasaliti ndoa, yeye anakutwa tu. Anayesaliti ni mwanamke na according to men mke akisaliti ndoa dawa ni talaka, ila mume akikutwa na michepuko mke anatakiwa kusamehe. Wanaume wote wanaishi humo [emoji23] hiyo ndo falsafa yao na huwatoi hapo.
Huwezi amini alikua hapiki Wala haangalii watoto yeyw ni kujua wameamka shule na wamelala anawahi kazini na kuja kulala karibu mwaka Sasa na nilikua navumilia kisa anadai ana tafuta hela ya kusaidia kwao..... Siku lalamika ila kwa ishu ya kuxhapiwa asikwambie mtu
Umeanza Sasa,🙄Si juzi tulikubaliana kuwa mi narembua macho?
Au ni zile balls nilisema ninazo ndo nimekuwa dude sa hiz?
Mfyuuuu
Niligundua mawasiliano yako wakiongea na jamaa kupitia simu yake ndo ikabidi aseme ukweli kua anamahusiano na huyo mtu na kunisanukia hata alivyokua hakulala nyumbani alikua kwa jamaa ila haku sex nae mpaka leo😤😤 dahhh mwanamke ananiona zuZu balaaAlikwambia! Au ulijuaje kama anachepuka?
Bora kutokuoa kabisaGuys mwanaume tafuta pesa uzae na ulee wanao maisha mazuri hili kuhusu NDOA tumepigwa asee ukishindwa basi tafuta katoto kabichi wewe una 40's afu uoe chap
Pole mkuu alishaliwa, achana nae mazima utakuja kunishukuru.Niligundua mawasiliano yako wakiongea na jamaa kupitia simu yake ndo ikabidi aseme ukweli kua anamahusiano na huyo mtu na kunisanukia hata alivyokua hakulala nyumbani alikua kwa jamaa ila haku sex nae mpaka leo[emoji36][emoji36] dahhh mwanamke ananiona zuZu balaa
Pole mkuu!
Umejaribu njia zote za kurudiana ikashindikana?
Maana hakuna mkamilifu hasa kwenye sex, binafsi labda nikudake unanifanyia shiriki but nikikufuma bed ntakusamehe najua nyege zako tu zimekutuma maana hazina adabuu.....
Msamehe mkuu mlee watoto, divorce anaiweza mwanamke nyie wanaume huwa mnakufa
Mrudie!
mkuu ukimrudia sio dhambi, mpigie simu arudi nyumbaniHabari,
Kwa maskitiko makubwa baada ya kugundua mke Wang anamahusiano mengine na kuamua kuondoka baada ya ugomvi mkubwa.
Sasa tukiwa naprocess kumpa talaka na mimi nikiwa nimebaki na watoto (under 7years).
Naanza ku experience mateso makubwa kwakuogopa kukaa Karibia na wanangu kwakuulizwa mama Yuko wapi na kwanini hakai nyumban.... Aisey asikwambie mtu nnawakat mgumu mnoo ukizingatia hatujazoea kudanganya watoto.
Nikiingia chumbani ndo kabisaa upweke nnaopata Hadi nakonda na hamu ya kula inaisha.
Kila nikifikiria kuanzisha mahusiano mapya sioni na Wala sielewi kama ntapata mwanamke niliyemzoea Kama mke Wang.... Si Kama mzuri kuliko wengne ila nifundi kweli kweli💘. Nahisi
Imekua ngumu kwasababu mimi sio wa michepuko ndio maana na teseka
nafiria kuhama nyumbani kwangu, watoto nipeleke kwa bibi yao mi nitafute chumba niishi Kama bachelor Mana sitokua mazingira ya nyumban kwangu nilipozoea kua na mke wangu na watoto labda itanisaidia .
Kwakweli sikutegemea ndoa inawezakuvunjika kirahisi hivi maana nilidhani Nina ndoa very strong (tulidhani tumewezakuchukuliana vyakutosha)
Separation sijambo rahisi wazee Kama unadhani unaweza kuokoa ndoa yako anyhow jitahidi uokoe before too late.
I missed her but Moyo wangu hauna Imani nae Tena nahisi nnahisi nnaweza fungwa kwa ajili take.
Usiombe
Ego yako imekuwa so bruised.Basi angelipiza nikiwa na hela
Dah, nakumbuka swali "Hivi Baba, kwanini hukumuoa Mama?" MmmmmghhhNaanza ku experience mateso makubwa kwakuogopa kukaa Karibia na wanangu kwakuulizwa mama Yuko wapi na kwanini hakai nyumban.... Aisey asikwambie mtu nnawakat mgumu mnoo ukizingatia
Ni muhimu kujenga kuliko kubomoa! I can really feel the painI missed her but Moyo wangu hauna Imani nae Tena nahisi nnahisi nnaweza
Huu ni ushauri mzuri sana sanawitnessj
Amemaliza kila kitu, mwite umshirikishe jinsi watoto wanavyojisikia bila yeye, kaeni chini muyamalize.
Unarudiana na malaya....??...NEVER.NEVER....Pole mkuu!
Umejaribu njia zote za kurudiana ikashindikana?
Maana hakuna mkamilifu hasa kwenye sex, binafsi labda nikudake unanifanyia shiriki but nikikufuma bed ntakusamehe najua nyege zako tu zimekutuma maana hazina adabuu.....
Msamehe mkuu mlee watoto, divorce anaiweza mwanamke nyie wanaume huwa mnakufa
Mrudie!